September 9, 2022

Uncategorized

KCSE Past Papers 2013 Kiswahili Paper 3 (102/3)

5.2.3 Kiswahili Paper 3 (102/3) FASIHI SIMULIZI l. (a) Maana ya Vitanza Ndimi Vitanza ndimi ni virai/vishazi au sentensi zenye sauti zinazokaribiana au zinazofananaโ€™ kimatamshi na ambazo hutatiza rntu kuzitamka. Aghalabu huundwa kwa vitate, vitawe, au hata kurudia maneno yalc yalc katika scntensi. Kwa mfano: (i) Wali huliwa na mwana wa liwali.Asiyekuwa mwana wa liwali hali wali. (ii) Wali huliwa na wanawali, wasio wanawali hawali wali. (iii) Shirika la reli la Rwanda lililiathiri lile la reli la Kenya. (iv) Mzee aliyevaa koti lililo๏ฌka gotini alianguka akaumia goti kisha koti lake lenye ku๏ฌka magotini likachanika. (alama 2) (b) Majukumu ya Vitanza ndimi (i) Kumzoesha mtoto/mtu kuzitamka sauti au maneno vizuri. (ii) Ni nyenzo ya burudani. Vikao vya mashindano ya utamkaji hutumiwa kuwachangamsha wanajamii. (iii) Msingi wa kumsaidia mtolo kujua lugha kwa undani. Huundwa kwa vitate au vitawe, hivyo mtu hujifunza vipengele hivi vya lugha. (iv) Husaidia kuimarisha uwezo wa kimawasiliano wa anayehusika. Utamkaji wa vitanza ndimi kwa kasi humzocsha mzungumzaji kuweza kuwasilisha hoja bila kusitasita. (v) Huendeleza utamaduni. Jinsi wanajamii wanavyoshirikishwa katika utamkaji ndivyo wanavyorithishwa utamaduni wao au dcsturi yenycwe ya kushiriki katika utamkaji. (vi) Hujcnga stadi ya ukakamavu. Kadiri mtu anavyoshiriki katika utamkaji ndivyo anavyoimarisha ujasiri wake wa kuzungumza hadharani. (vii) Huibua ucheshi na kudumisha uhusiano mwema. Utani unaoibuliwa katika mashindano ya utamkaji ni msingi wa kujenga uhusiano. (viii) Hukuza ubunifu. Wanajamii huweza kubuni vitanza ndimi hapohapo, wakavitamka. (ix) Ni kitambulisho cha jamii. Kila jamii ina vitanza ndimi vyake vinavyohusu mazingira yake. (x) Hukuza utangamano katika jamii. Vikao vya mashindano ya utamkaji huwaleta wanajamii pamoja hivyo kujihisi kuwa kundi moja. Tanbihi   Kuonya/kushauri – baadhi hufumbata maonyo/ushauri. Kwa mfano, Mzaha mzaha huzaa usaha. (6 x 1 = 6)c. Utazamaji wa kushiriki au kutoshiriki. Mtu anaweza kushiriki katika kikao cha utamkaji wa vitanza ndimi, hivyo kujua vinavyoendelezwa katika jamii husika.   Video. Mtu anaweza kupiga picha za video watu wakitalmka/wakishindana katika. utamkaji wa vitanza ndimi ili kuja kuchanganua baadaye. Matumizi ya hojaji. Mtu anaweza kuandaa maswali katika hojaji ili kudadisi kwa mfano, kama vipo katika jamii fulani, wanaohusika katika vikao vya utamkaji na uundaji wake. Kurekodi kimaandishi (kuandika) ili kuvirithisha au hata kuvichanganua baadaye. Majadiliano ya vikundi lengwa, Mta๏ฌti anaweza kutcua vikundi, kwa mfano, vijana,i1i kuchunguza namna wanavyoviunda na kuvitamka, na athari ya vitanza ndimi hivi kwao. Mahojiano Mta๏ฌti anaweza kuandaa mahojiano rasmi na kundi / sampuli lengwa ili kuchunguza kwa mfano, majukumu ya vitanza ndimi katika jamii husika Matumizi ya vinasa sauti na sidii ili kunasa utamkaji wenyewe na kuchanganua sifa zake. Kutumia kumbukumbu ya mta๏ฌti mwenyewe. Uta๏ฌti ambaye in mmoja wapo wa wanajamii katika eneo analofanyia uta๏ฌti anaweza kurithisha yale anayokumbuka baada ya kuyashuhudia. Kusoma majarida na vitabu (maktabani) vyenye habari kuhusu vitanza ndimi. (6 x 2 = 12)Hoja zifafanuliwe ili kupata alama kamili. Utengano: Said A. Mohamed 2. a) Ni shairi analolikumbuka (Inspekta) Fadhili katika diwani yake: Kilio cha Wanyonge. Au:   Ni maneno ya Fadhili Katika diwani yake : Kilio cha Wanyange. ~ Yumo nyumbani (sebuleni)mwa Maksuudi. Alikuwa ameitwa na Maksuudi. Ameyaona mabadiliko (fanicha) katika sebule ya Maksuudi ndipo akakumbuka haya.(4 x l = 4) Tanbihi Dondoo limetolewa uk. 71 – 72   Kinaya – Wafanyakazi kufanya kazi kwa bidii lakini wanalala njaa Sitiari – Njaa kufananishwa moja kwa moja na msumeno. Taswira – Picha ya watu wakimenyeka/wakiteseka. Picha ya msumemo ukikeketa matumbo.  Jazanda – Msumeno ni jazanda ya njaa inaydwaumiza raia. ยป(2 x 2 = 4) c. Wakulima wanalima lakini mapato hawayapati Rejelea maneno ya Shoka (Uk. 113). Wanyonge kuandamwa na magonjwa (uk. 72). Wakulima wanapunjwa; wageni k.v Marekani ndio wanaodhibiti bei za mazao. Maimuna, Dora na wenzake danguroni kwa Mama Jeni – wanashiriki ukahaba lakini mapato yanamwendea Mama Jeni. Maimuna anatumiwa na Bili Sururu kama kivutio cha walevi. Biti Sururu anamtazama na kusema kimoyomoyo atawafaa (UK.95). Anawaambia walevi amepata kisura. Kazi kwa Biti Surum inamfanya Maimuna kudhoo๏ฌka kiafya. Wazazi k.v Mama Dora anamtelckeza kwa kumuuza kwa Mama Jeni. Dora anakuwa kahaba. Dhuluma katika ndoa – Tamima kutawishwa, kupigwa – Mwanasururu na kutalikiwa na Maksuudi. Dhuluma katika malezi – Maimuna kutawishwa, Maksuudi kukinyima kitoto chake na Tamima malezi ya mama na kusababisha kifo. Wanawake kubaguliwa katika eiimu. Maimuna anasomeshewa nyumbani ilhali Mussa amesoma hadi chuo kikuu. Maimuna kutumiwa kama chombo cha kuzalisha pesa pale Rumbalola – mapato yanamwendea mwingine. Maksuudi kumpokonya Mwanasumru mali na kumfanya kuishia kuwa mwendawazimu. Wizi/unyakuzi wa mali ya umma. Maksuudi kunyakua shamba la Via – kina Haji wanaishia kuwa maskini wanaomtcgcmea. Maksuudi kuwatesa wanyonge, anauza sahihi yake; anamtaka mke wa Mzee Japu kulipa shiilingi 200 kwa sahihi yakc tu (Uk. 78). Mwanasururu anamtaka Kabi kutenda yasiyofaa na baadaye kusababisha kukzxi”-.. .. kwa mguu wake. Biti Kocho na Farashuu wanamtorosha Maimuna na kumwingiza kwenyc mtandao wa ufasiki / ukahaba.Tanbihi a) Farashuu anamuumbua Maimuna mbele ya mchumba wake – Kabi. Anamwita mhuni na mchafu (uk.l68) Raia wametekelezwa kwenye ujinga na umaskini. Maazimio ya baada-uhuru. kuto๏ฌkiwa (uk. 72). Kazija anashirikiana kimapenzi na Mussa ambaye ana umri mbichi, kwa nia ya kumtenganisha Mussa na babake. Anaishia kumfanya kupigwa na baba yake. โ€™ Anawatenganisha. Farashuu – kumenyeka kazini, mwanawe Mwanasururu kudhulumiwa, mazingira duni, n.k. Maksuudi – baada ya kifungo, kupoteza asilimia kubwa ya mali yake, kupoteza hadhi, kuumbuliwa na Maimuna pale Rumbalola, ukiwa unaomwandama baada ya kusambaratika kwa familia yake, kipigo na ugonjwa, Tamima kukataa kumsamehe, nk.(a)ย Mnyonge anaweza kufasiriwa kwa namna zufuatazo: Maskini Asiye na mamlaka kisiasa Anayehitaji msaada Mwenye umri mdogo kuliko mwingine Aliye katika hali fulani, kama vile ugonjwa Mwana kwa mzazi Wafanyakazi(b)ย Kumenyeka kunaweza kumaanisha:   Utangulizi kuteseka kudhulumiwa/kunyimwa haki kuaibika kuto๏ฌkia maazimio kutengwa na familiautangulizi Wahusika na maudhui huchangiana kujenga kazi ya sanaa. Wahusika huteuliwa kuendeleza maudhui. Matendo yao ni msingi wa maudhui. Nayo maudhui hujumuisha matukio au hali zinazowaathiri wahusika. Tabia za wahusika huathiriwa na hali au matukio yanayowazunguka a)Shoka   Anaendeleza maudhui ya ukoloni. Anapinga hali ya wafanyakazi kuzalisha mali bila kufaidika. Anaonyesha ukosefu wa uwajibikaji katika ndoa. Anamwachia Sclume mzigo wa malezi. Anaendeleza uozo wa kijamii (usherati) kwa kuhusiana na Maimuna kimapenzi. Anaendeleza ukandamizaji wa wanawake. Anamwambia Selume hatamwacha talaka, anamwachia ulimwengu umtimbe. Anaonyesha matumizi mabaya ya vileo. Pesa zake

KCSE Past Papers 2013 Kiswahili Paper 3 (102/3) Read Post ยป

Uncategorized

KCSE Past Papers 2013 Kiswahili Paper 2 (102/2)

5.2.2 Kiswahili Paper 2 (102/2) 1. Ufahamu (a)Kuharibika kwa miundomsingi/barabara mbovu Mishahara duni Malalamishi yao kutosikilizwa Kutothaminiwa kwa utaalamu Kukosa huduma za kimsingi k.v. maji Kuvutiwa na maisha ya kuridhisha huko ngโ€™amb0 Kutokuwa na matumaini ya mustakabali mwcma nchini.4×1-alama4 b) Masika ni hali nzuri au manufaa. Ngโ€™ambo kuna maisha ya kuridhisha kama vile kuthaminiwa kwa wanataaluma.Hata hivyo, kuna dosari zifuatazo:   Upweke Ubinafsi Baridi2 x 1 (Jumla – alama 3) c) Umma kutofaidika kutokana na huduma za wataalamu wake licha ya kuwafadhili Kuwaachia mzigo wa kazi wataalamu wachache waliobaki Kuwapoka riziki wafanyakazi, k.v. walioajiriwa na wataalamu hawa Kulazimika kufanya kazi kwa saa nyingi, kama vile Dkt. Tabibu 3xl- alama3d) Huwezesha kuwasiliana na jamaa walio mbali, kwa mfano, Daktari na ra๏ฌki yake wanawasiliana kwa simu. Huwezesha kuwa๏ฌkia watoaji huduma patokeapo dharura, kwa mfano Daktari anapigiwa simu nyumbani. Hurahisisha usa๏ฌri – gari la Daktari. Hurahisisha kupata huduma ya karibu ya maji- bomba la maji nyumbani kwa Daktari.3×1-alama3 e) Kuyapa mji – kuyawazia/kuyapa nafasi ya kuyajibu Fukuto – wasiwasi/mashaka/dukuduku/kutokuwa na utulivu/hamaniko2 x 1 – alama 2 2 a)Katiba mpya iliidhinisha mfumo wa ugatuzi ambao hupunguza mamlaka ya serikali kuu kalika usimamizi wa rasilimali. Eneo la ugatuzi hutwaa kiasi fulani cha mamlaka. – Ugatuzi utahakikisha usawa wa kimaendeleo nchini kinyume na awali. Serikali isaidie maeneo yote kujiimarisha. Maeneo yaweke mikakati ya kuta๏ฌti na kubainisha rasilimali/zilizomo. Kuvumbua rasilimali mwafaka kutasaidia ustawi. Wanamaeneo watafute mbinu za kuongezea thamani rasilimali. Kilimo cha ufugaji ni nguzo ya maeneo mengi na kinahitaji kuimarishwa kwa kuandama mbinu za kisasa za uzalishaji. Ipo haja ya wanaeneo kukabiliana na matatizo yanayohusiana na soko ili kukinga dhidi ya kupoteza wateja. Ipo haja ya kujenga viwanda vya kuchinjia mifugo na kupakia nyama. Baadhi ya wafugaji huhasirika kwa kuuza mifugo wazimawazima. Wafugaji wengine hutapeliwa.7 x l =7 Mtiririko =1 alama – 8 (b)Ujenzi wa viwanda vya kuchinjia na kupakia nyama utakinga dhidi ya kupoteza bidhaa zinazotokana na mifugo.  Kujenga viwanda hivi kunasababisha ujenzi wa viwanda tegemezi.  Hili litawezesha kuzalisha nafasi za kazi.  Kutakuwa na kuongezea thamani utoaji wa huduma za kijamii na kiutawala.  Kuzalisha nafasi za kazi kwa vijana kutasaidia kuwaadilisha vijana zaidi.  Kila eneo lina vipaumbele tofauti; wakazi wabainishe kipaumbele chao. Ugatuzi unahitaji ushirikiano.l(ila mwanaeneo awajibikie maendeleo ya eneo. Wanaeneo washiriki kuteua viongozi wenye muono mzuri. Ufanisi katika maeneo ya ugamzi utachangia katika ufanisi wa taifa kwa jumla. 6 x I = 6Mtiririko = 1 (alama = 7) 3. a)(i) Sauti mwambatano ni sauti mbili au zaidi zinazotamkwa kama sauti moja (k.v. konsonami na kiyeyusho. Kwa mfano /tw/ Au Sauti moja ambayo ni muungano wa sauti mbili au zaidi. Kwa mfano konsonanti mbili au tatu. Kwa mfano,/nd/ mb/ ngw/ ‘ 1 x 2 – (Alama 2) Au Sauti ambayo huundwa kwa konsonanti mbili au tam zinazotamkwa kama sauti moja, kwa mfano, /ndw/ katika ndwelemgwfkatikajangwa mf: / nd/ – katika u๏ฌ‚a (ii) / nd] – katika mwago /tw/ – katika tlalika / nw/ – katika showa /zw/ – katika tula /sw/ – katika naya /ndw/ – katika ugivya(Alama 1) Mtahiniwa atumie kielezi cha namna kama ifuatavyo. (b) Komu ameshona nguo vizuri na kuiuza sokoni au Komu aliuza nguo sokoni baada ya kuishona vizuri. (Alama 2) c) (i) Watumie kihusishi cha wakati kama vile, kisha, tangu, hala๏ฌx, kabla ya, hadi, mpaka, kwa, hata, ku๏ฌkia, kuanzia. Mfano:   Amekuwa hapa ta_ngg asubuhi. Aliwasili halafu akaondoka.(Alama 1) (ii) Watumie mzizi – 0 – ote pamoja na nomino / viwakilishi katika ngeli mbalimbali. Kwa mfanoz Mwalimu alitaka kumtuma mtoto yeyote. Nzi hula kitu chochote. Hakuweza kula tunda Q3. n.k (d) Askari wakipiga doria na kushirikiana na raia watakuwa wametuhakikishia usalama. (Alama 2) e. (f) Videbe hivyo vitasa๏ฌrishwa pamoja na viiundo hivi. au Vijidebe hivyo vitasa๏ฌrishwa pamoja na vijijundo hivi. 2 x 1 – (Alama 2) (g) (i) lngawa mshahara wake si mkubwa – tegemezi (ii) anaikimu familia yake – huru 2 x l (Alama 2) (h) Matumizi ya โ€˜Kiambishi โ€˜liโ€™ (i) Kiambishi cha wakati uliopita – Musa a๏ฌ‚tutembelea. (ii) Kiambishi cha ngeli – Tunda ๏ฌliiva (iii) Kiambishi cha kauli tendea – Yule alikukimbil_ia au Mtoto ameka๏ฌ‚a kigoda. 3 X 1 (Alama 3) (i) (i) Ni sentensi inayoonyesha kutegemeana kwa matendo au hali. (Alama l) (ii) Watumie viambishi na maneno yanayoonyesha kuwa kufanikiwa au kutofanikiwa kwa tukio au tendo moja kunategemea kufanikiwa kwa tukio au tendo lingine. kwa mfano: nge, ngali, ki, kama, iwapo n.k. (a) Wanafunzi wange๏ฌka mapema wangempata mwalimu. (b) Kotu angalisoma kwa bidii angalifaulu. (c) Mvua ikinyesha mapema tutapata faida. (d) Iwapo unataka ufanisi jibidiishe. Tanbihi Mtahiniwa anaweza kuandika katika hali kanushi kama ville: (a) Mkulima asingalipanda mapema asingalipata mazao mengi. (b) Huyu asipojihadhari ataharibikiwa. (c) Iwapo hutaanza safari mapema utachelewa. (d) Kama utaanza shughuli mapema hutatatizika. (e) Lazima asome kwa bidii ili afanikiwe (Alama 2) (i) La Katunda linapendeza. Au Tindi anataka cha mwenziwe. (ii) Atumie viwakilishi vya idadi halisi vinavyotumia a – unganifu. Kwa mfano: Wa tatu atatuzwa shaba. Au: Mwalimu anamuita wa nne. 1 x 2 – (Alama 2) Mifano ifuatayo au zaidi inaweza kujitokeza. Kaini: hajawahi kupalilia mtama. (i) Hutumiwa kutilia mkazo maelezo/kutoa maelezo zaidi/kufafanua au kuonyesha kusisitiza. Kwa mfano Alinunua matunda โ€” maembe, machungwa na matango. (ii) Hutumiwa kuonyesha kubadilika kwa maoni. Kwa mfano: Waite wale โ€” hapana, hawa. (iii) Kuonyesha msemaji/usemi halisi, kwa mfano Utengano ni udhaifu โ€” duma 2 x 1 (Alama 2) (M) Sentensi ibainishe kauli au hali ya kutendeana. Osorc na Ngungui wamepigiana simu. Au (n) Osore ria Ngungui wamepigania simu. 1×2 (Alama 2) Utumbuizaji wa Mayaka una ucheshi mwingi/sana. Au Kutumbuiza kwa Mayaka kuna ucheshi mwingi/sana. Au Kutumbuiza kwa Mayaka kuna kuchekesha kwingi/sana. I x 2 – (Alama 2) (o)Kanda (i) kutomasa (ii) eneo (iii) aina ya mfuko (iv) mlu asiyeaminika/laghai/ayari (v) wingi wa ukanda/mshipi (vi) malipo kwa mganga (vii) makasia ya kuogelea (viii) utepe/mshipi unaotumiwa kunasia sauti/picha (ix) mtu asiyesimika/hanithi 3 x 1 (Alarna 3) (p)(i) enda mvange (ii) enda upogo (iii) enda segemnege (iv) enda arijojo   (v) enda mrama (vi) enda benibeni (vii) enda shoro (viii) enda tenge 2 x 1 (Alama 2) Isimujamii (b) Biashara/sokoni/kunadi au kutangaza bidhaa (Alama 2) (i) Matumizi

KCSE Past Papers 2013 Kiswahili Paper 2 (102/2) Read Post ยป

Uncategorized

KCSE Past Papers 2013 Kiswahili Paper 1 (102/1)

Kiswahili Paper 1 (102/1) 1.Huu ni utungo amilifu. Vipengele viwili vikuu vya utungo wa aina hii vishughulikiwe: (a) Maudhui; (b) Muundo. Muundo wa memoย Vipengele vifuatavyo vya kimsingi vizingatiwe. (H) (i) Nembo na anwani ya Kampuni ya Jitihada. Iandikwe juu, katikati mwa karatasi wala si juu pambizoni kama ilivyo katika barua rasmi ya kawaida Anwani inaweza kujumuisha mahali, mtaa, barabara au jengo ambamo kampuni ya Jitihada inapatikana. Kwa mfanoz Mtaa wa Viwandani, Barabara ya Tungama, n.k; anwani ya bama pepe, tovuti na kipepesi (faksi). (ii) Nambari ya marejeleo/kumbukumbu ya marejeleo. Kwa mfano: Kumb./ Rej. JIT/ JUMLA/NIDHAMU/2013/2 (iii) Tarehe – inaweza kuandikwa pambizoni kwenye mstari mmoja na nambari ya kumbukumbu. (iv) Mtajo (a) Kutoka Kwa: Meneja (b) Kwa: Wafanyakazi wote (v) Mada/Kuhusu: Ukiukaji wa maadili ya kikazi Au Mada: Onyo kuhusu ukiukaji wa maadili ya kikazi (vi) Utangulizi Mtahiniwa atangulize kiini cha memo. Kwa mfano: mtindo ufuatao unaweza kufuatwa: Ripoti zilizowasilishwa katika a๏ฌsi hii na wakuu wa vitengo mbalimbali zimรฉbainisha kudorora kwa maadili ya kikazi …,’n.kย Hoja zipangwe ki – aya. (viii) Hitimisho (kimuundo) Mtahiniwa ahitimishe utungo wake. Hapa anaweza kujumuisha hatua ambazo zitachukuliwa kwa atakayeendelca kukiviโ€˜ maadili ya kikazi. (ix) Kimalizio Muundo wa mwisho wa memo udhihirike kama ifuatayo: (b) (i) sahihi (ii) jina (m) cheo (si lazima) kwa vile ametaja tayari. (iv) Nakala kwa, kwa mfano, (a) Mkurugenzi (b) Wakuu wa vitengo (Nakala si lazima) Maudhui ” Mtahiniwa aibue hoja zinazohusiana na kutozingatia nidhamu kazini. Baadhi yazo ni:   Kuchelewa kazini Kuondoka mapema Kuzembea kazi/kuto๏ฌkia malengo Matumizi mabaya ya rasilimali za kampuni Mahusiano yasiyoruhusiwa, kwa mfano ya kimapenzi Mawasiliano yasiyofaa, kwa mfano yanayoeneza kashfa dhidi ya wafanyakazi wengine au viongozi Mavazi yasiyo na staha Kudai malipo ghushi Kutoa siri za kampuni Kuhusika katika biashara/shughuli inayoendelezwa na kampuni ya Jitihada Mapendeleo kazini, kwa mfano kuhusiana na utoaji wa nafasi za kujiendeleza Utoaji na upokeaj i wa rushwa Kutoheshimu /kutozingatia haki za wafanyakazi wenye mahitaji maalum Kushusha hadhi ya kampuni kupitia mwenendo wako Kutumia muda wa kampuni kujiendelcza masomoni bila ku๏ฌdia. Matumizi mabaya ya vileo Kutoa zabuni kwa njia ya mapendeleo Kutowaheshimu wakuu wako/kudhalilisha hadhi ya wakuu Kukosa kuwajibikia makosa pale yanapotokea Kuendcleza dhuluma ya kimapenzi Kummia mali ya kampuni bila idhini kujiendeleza Hitimisho (kuhusiana na mada) Hitimisho inaweza kujumuisha hatua ya kinidhamu kulingana na sera za kampuni, k.v onyo, kusimamishwa kazi kwa muda na kufutwa. Mtahiniwa anaweza pia kuwahimiza wafanyakazi kuzingatia maadili ya kikazi (bila kutoa onyo) ili kufanikisha utendakazi na maendeleo ya kampuni. –Tanbihi Kwa vile hili ni onyo, mtahiniwa anahitajika kutumia lugha yenye toni kali au inayohimiza nidhamu kazini. Mtahiniwa anaweza kufafanua kosa na hapohapo akataja hatua ya kinidhamu. Kaida nyingine zote za usahihishaji wa karatasi hii zizingatiwe. 3. Hii ni insha ya mjadala. lfuale kanuni za mjadala ambapo patakuwa na hoja za kuunga mkono na za kupinga.   K๏ฌ‚m๏ฌll๏ฌ‚ll๏ฌ‚ (i) (ii) (m) (W) (V) (vi) (vii) (vm) (ix) (X) (Xi) Hatari za kuangamia kwa lugha ambazo hazitumiki kwa wingi katika mawasiliano ya simu tamba . Kupalilia uraibu wa matumizi ya rununu, vijana kujizika katika matumizi ya rununu ‘ kiasi cha ku๏ฌ๏ฌlisha utendaji wao kielimu Kuchipuka na kustawi kwa aina mpya na nyeti za uhalifu kama vile utapeli Kuporomoka kwa misingi ya familia, ikiwa mume/mke atamdhibiti mwenzake kwa kutaka kusoma ujumbe wake mfupi au kuchunguza nani wanaompigia mwenzake simu, mtafaruku unaweza kuzuka. Pia jamaa nyingi huhiari kupigania simu badala ya kuonana aria kwa ana, hivyo kupujua mshikamano wa kifamilia Kuvuruga lugha/saru๏ฌ. Watu wamezoea kuandika kwa ufupi. Kudanganya katika mtihani, hivyo kupujua thamani ya mitihani. Kuzorota kwa maadili, k.v kuharibia mm sifa kupitia โ€˜facebookโ€™, kudanganya moja kwa moja pale ulipo n.k. Kudhalilisha ubunifu/wizi wa kiusomi. Baadhi ya watu hutumia simu kuiba mawazo ya wengine. Wizi wa ubunifu wa kazi za kisanii ambazo hazijapewa hakimiliki Kurahisisha uporaji na unyakuzi wa maligha๏ฌ za mataifa yanayoendelea kupitia kwa mtandao Upujufu wa maadili, vijana kutazama ๏ฌlamu chafu. ๏ฌ‚gig za kgpiggaRununu zina manufaa chungu nzima kama vile:   Kuleta wanadamu pamoja cluniani na hivyo kupunguza tuhuma zinazoelekea kuleta vurugu kwa watu kutofahamiana Usambazaji wa teknolojia inayorahisisha maisha ya wanadamu kote duniani kupitia kwa huduma zinazotolewa ria simu. Kuendeleza biashara – kubadilishana bidhaa na pesa kupitia mtandao kama vile MPESA. Hurahisisha huduma za benki. Mtu anaweza ku๏ฌkia akaunti yake kupitia kwenye rununu. Huwa na vifaa kama vile vikokotoo vya kurahisisha kufanya hesabu. Ni chornbo cha burudani – vijana hupata michezo mbalimbali. Huimarisha uta๏ฌti. Mtu anaweza kufanya uta๏ฌti kupitia kwenye rununu. Huweza kutumiwa kupigia picha, hivyo kuokoa pesa ambazo zingenunulia kamera au video. Mtu anaweza kuwasiliana na familia yake kutoka mbali, hivyo kuokoa muda na fedha ambazo angetumia kusa๏ฌri. Mtu anaweza kuhifadhi msahafu(Biblia au Korani) kwenye simu, hivyo kujikuza kiroho kila mara. Ni njia ya kupata habari kutoka kwenye mashirika ya usambazaji wa habari. Baadhi ya rununu zina redio na hata runinga. Mtu anaweza kusikiliza na kutazama habari hata akiwa safarini. Hufanikisha kuwanasa matapeli na magaidi. Baadhi ya rununu huonyesha simu ilipopigiwa hivyo kusaidia kudhibiti mitandao ya uhalifu. Huduma ya simu tamba ni njia ya kujipatia riziki. Wapo raia walioanzisha biashara ya MPESA, na wengine ukarabati wa rununu zilizoharibika. Hili limepunguza makali ya uhaba wa nafasi za kazi nchini.Tanbihi l Mtahiniwa anaweza kujadili upande mmoja, kwa mfano, hasara tu. Huyu atahitajika kufafanua kikamilifu angaa hoja 5 ili kukadiriwa vyema kimaudhui. 2 Wapo watakaosema moja kwa moja kuwa simu tamba imeleta faida tu. Hawa pia wajadili angaa hoja 5 ili kukadiriwa vyema kimaudhui. 3 Watakaojadili pande zote mbili sharti wafafanue angaa hoja 3 kuunga na 2 kupinga/au 3 kupinga na 2 kuunga, kisha waonyeshc msimamo wao. ‘ ยป 4 Kuna yule atakayejadili pande zote mbile bila kuonyesha msimamo. Huyu ni mtu baki – amepungukiwa kidogo 5 Kaida nyingine zote za usahihishaji wa karatasi hii zizingatiwe. Hii ni insha ya methali. Kisa kidhihirishe maana ifualayoz Usimpuuze mtu ambaye alikusaidia awali; au usimpuuze mtu ambaye unahitaji msaada wake ati kwa sababu amekufaa tayari na unahisi kwamba humhitaji tena. Huenda ukamhitaji mtu huyo baadaye. Au Usivipuuze au usividharau vitu au hali ambayo ilikufaa awali. Huenda ukavihitaji baadaye. Kisa kinaweza kudhihirisha hali zifuatazo (i) Mhusika ambaye ameishi mahali kwa muda (labda amepewa

KCSE Past Papers 2013 Kiswahili Paper 1 (102/1) Read Post ยป

Uncategorized

KCSE Past Papers 2016 Kiswahili Paper 3 (102/3)

(i) nasongwa โ– Nasagwa – naumia (ii) kuriaria โ– kuzurura, kurandaranda (iii) adinasi โ– binadamu (a) Eleza toni ya shairi hill. (Alama 2) โ– Toni ya mahimaini – lazima niendelee kujitahidi kwa kila hatua. โ– Toni ya uchovu – Nami tayari nimechoka tiki. (b) Mshairi ana maana gani anaposema “Kuwa tayari kupanda na kushuka” katika ubeti wa tatu? (Alama 2) โ– Kuwa tayari kukabiliana na uzuru na ugumu wa maisha (c) Fafanua tamathali tano za usemi zilizotumiwa katika shairi hill ukizitolea mifano mwafaka. (Alama 10) โ– Taswira – picha inayojitokeza unaposoma kazi ya fasihi n.k. wa miinuko na kuruba. โ– Taswira kinzani – Nizame na kuibuika โ– Nipande na kushuka. โ– Taashira – Barabara kuimarisha maisha. โ– Mswali balagha – hadi lini? โ– Uzungumzi nafsi – mizame na kuibuka, -Nipanda na kushuka. (d) Eleza ujumbe unaojitokeza katika ubeti wa tano wa shairi hill. (Alama 2) โ– Msemaji ameshangaa kuwa amekuwa akiomba kwa muda na anatilia shaka iwapo Mungu amechoshwa na maombi yake. (e) Eleza maana ya: (Alama 2) (i) kuruba โ– Hali ya kuwa na vikwazo na magumu ya maisha. (ii) barabara yenye ukungu โ– Mkondo wa maisha ambapo anayokubaliana nayo mja si wazi. Kila hisia huibua mambo mapya. 8.Sehemu E: Fasihi Simulizi (a)Kwa kutumia mifano mwafaka eleza majukumu matano ya nyimbo katika jamii.(Alama 10) โ– Nyimbo huhifadhi historia ya jamii. Mfano nyimbo za siasa, nyimbo za sifa, nyimbo za vita. โ– Huhifadhi na kupitisha utamaduni k.v mbolezi hubeba utamaduni iva jamii kuhusu kyb. โ– Huliwaza kv. Mboiozi Kuonyesha ustadi / ubora iva jamii. โ€ข Huham a sisha โ€ข Hudimisha โ– Kukuza utangamano โ€ข Ni njia ya kutakwa hisia โ€ข Huadilisha. โ– Kukashifu tabia hasi โ– Kusifu tabia chanya โ– Hukuza uzalendo kuimarisha ubunifu. (b) Ili kuweza kufanikisha uwasilishaji wa utanzu wa nyimbo kwa hadhira eleza mambo anayohitaji mwimbaji. (Alama 10) โ– Kuwa na sauti ya kurutia โ– Kuihusisha hadhira โ– Kuieiewa had/lira โ– Kuelewa utamaduni wa hadhira โ– Kutumia viziada lugha โ– Kuwa mkakamavu โ– Aelewe lugha ya hadhira โ– Awe mbunifu โ– Ahusishe masuala ibuka yanayoathirijamii ili kupitisha maadili yafaayo. โ– Awe na kumbukumbu nzuri. โ– Avae maleba โ– Abadilishetoni kulingana na ujumbe โ– Kutumia ala kwa njia mwafaka ili kukuza mvuto wa utungo wake. Hadithi Fupi<p? k.=”” walibora=”” na=”” s.=”” a.=”” mohamed:=”” damu=”” nyeusi=”” hadithi=”” nyingine=”” <p=””>1. Lazima Jadili maudhui ya elimu kwa mujibu wa “Kanda la Usufi”, “Shaka ya Mambo” na “Tazama na Mauti”, (Alama 20)</p?> โ– Shule imesawiriwa kama mahali pa kuadilisha wanafunzi โ– Kuhakikisha kuwa wanafunzi wamo katika hali nzuri ya kiafya iii kuendeiea katika masomo -mfano – desturi ya shule ya Askofu Timotheo kuwachunguza wasichana vote kama wana mimba. โ– Matokeo ya vitendo vya wanafunzi yanadhihirika katika hadithi tofauti. Katika Kanda la Usufi, Sela na Masazu hawafanyi vyema kwenye mtihani โ– Katika Tazamana na Mauti, ukosefu wa hamu ya masomo unamfanya Lucy asifanye vyema kwenye mtihani โ– Wazazi hukatatam-aa watoto wao wanapoenda kinyume na matarajio yao. โ– Elimu pia humpa binadamu uhuru kujipangia mustakabadhi wake. โ– Masazu anapata kazi ya kijurudu jiko huku Sela akitamani kumchukua mtoto wake ajilele kwa vile hakuwa na la kufanya Masazu anapoenda kazini โ– Katika Kanda la Usufi imeelezwa kuwa wasichana walitarajiwa kuendeleza shughuli zao kwa utulivu na ustaarabu huku wakizingatia maadili ya hali ya juu. Elimu pia inatarajiwa kuwapa wanafunzi nafasi ya kukuza vipaji vyao na kuingiliana ili kuelewana zaidi. โ– Jukumu la mwanafunzi katika masomo limejitokeleza Bi Margaret mwalimu mkuu wa shule ya Askofu Timotheo anapowahutubia wanafunzi na kusisitiza uwajibikaji katika vitendo vyao. โ– Katika Tazamana na Mauti Lucy anaamini kuwa jiji hili lina raha kamili bila karaha. โ– Anategemea mzungu atakayemwoa na kumpeleka London na baadaya kufika London akaanza kutegemea kifo cha Bw. Crusoe ambacho kingempa urithi na raha aliyotaka maishani โ– Hili linadhihirika wakati mzee Butali anapomwuliza mwalimu kwa nini wazazi huwapeleka watoto shuleni. โ– Ukosefu wa elimu umeonyeshwa kama mojawapo ya njia zinazowapa vijana mitazamo ftnyu kuhusu maisha. โ– Esther katika Shaka ya Mambo alijua alichokuwa akitafuta. โ– Kwa upande mwingine mustakabali wa Lucy ulitegemea wengine. โ– Alikuwa amepanga ni kwa muda gani angeendelea kufanya kazijinsi atakavyopanga wakati wake baada ya kujiunga na chuo kikuu na anachotaka kusomea.  

KCSE Past Papers 2016 Kiswahili Paper 3 (102/3) Read Post ยป

Uncategorized

KCSE Past Papers 2016 Kiswahili Paper 2 (102/2)

2016 Kiswahili Karatasi ya 2 Lugha (a) Eleza athari za madeni kwa nchi zinazoendelea.(alama 2) โ– Asilimia kubwa ya patu la mataifa yanayoendelea huishia kulipa madeni haya. โ– Hivyo inakuwa vigumu kwa mataifa hayo hujikwamua kutokana na umaskini (b) Kwa nini umaskini unatawala mataifa yanayoendelea? (alama 4) โ– Ufisadi, uongozi mbaya, turathi za kikoloni, uchumi kutegemea kilimo chenye mvua isiyotabirika, idadi kubwa ya watu, nafasi adimu za kazi, madeni na ukosefu wa elimu (c) Mwandishi anatoa mapendekezo yapi kwa mataifa yanayoendelea katika kutatua tatizo la ufukara?(alama 4) โ– Kuibuka na mikakati bora ya kupambana na umaskini. โ– Sera zinazotambua kuwa rain wake wengi ni maskini. โ– Kuzalisha nafasi za aura kuimarisha miundo msingi. โ– Kuendeleza elimu inayolenga kutatua matatizo maalum โ– Kupanua viwanda. โ– Kuhakikisha kuwa mfumo wa soko huu hauishii kusababisha kufungwa kwa viwanda. (d) Mfumo wa soko huru una mathara gani kwa mataifa yanayoendelea? (alama 2) โ– Unaweza kuwa chanzo cha kufa kwa viwanda asilia. (e) Taja visawe vya maneno yafuatayo kama yalivyotumika katika kifungu. {alama 3) (i)Turathi za kikoloniย > โ– Masalio ya kikoioni / ukoloni mambo leo / athari za ukoloni. (ii) Kuatika โ– Kuzalisha/ kuwa โ– chanzo/ kuanzisha/ kuleta/ kusababisha/ kupanda. (iii) Kuyaburai โ– Kuyasarnehe/ kuyaondoa/ kuyasahau/ kuyapuuza/ kuyafudlia mbali Muhtasari (alama 15) Soma kifungu kifuatacho kisha ujibu mnswali. Taifa huundwa na watu wanaoishi katika nchi moja na wanaojitambua kisiasa kama watu walio na mwelekeo, maono na hatima sawa. Utaifa hujengwa kwenye misingi ya mapenzi kwa nchi, Utambuzi wa cheo, eneo, hadhi, rangi na hata makabila wanakotoka raia wa taifa moja si chanzo cha kuwatanganisha. Nchi moja huweza kuundwa na watu walio na tofauti chungu nzima zikiwemo tofauti za kikabila, kitabaka na kimawazo. Hata hivyo, watu hao huwa na folsafa na imani sawa kama taifa inayoashiriwa hasa na wimbo wa taifa. Hata hivyo haya yotc hayawezi kuwafikia katika kiwango cha kuunda taifa. Uzalendo ndio mhimili mkuu wa utaifa. Uzalendo ni mapenzi aliyo nayo mtu kwa nchi yake. Mapenzi haya humwongoza mtu katika mawazo yake, itikadi yake, matendo yake, matamanio yake na mkabala wake kuhusu nchi na hatima ya nchi yake. Mzalendo hawezi kushiriki katika matendo yanayoweza kuiletea nchi yake maangamizo kwa vyovyote vile. Mzalendo huongozwa na mwenge wa wema. Mzalendo hawezi kushiriki kwenye shughuli zozote zinazohujumu mshikamano wa kitaifa. Yeye hatawaliwi na ubinafsi wa kutaka kufaidi nafsi yoke naya jamii yake firtyu. Matendo yake yote huongozwa na ari ya kuiboresha nchi yake. Anayeipenda nchi yake hujiepusha na ulafi wa kujilimbikizia mall. Yuko radhi kuhasirika mradi taifa lake linufaike. Utaifa ni mche aali unaopaliliwa kwa uzalendo, kuepuka uchu wa nafsi na taasubi hasi zikuwepo za kikabila na ubinafsi. Hali hii inapofikiwa, hatima ya taifa na mustakabali wa raia wake huwa wenye matumaini makubwa (a) Kwa maneno 40 – 50 dondoa sifa kuu za utaifa.(alama 6, 1 ya mtiririko) โ– Kuwepo kwa hatima sawa โ– Kuwepo kwa maono sawa โ– Kuwepo kwa folsafa/ imani/itikadi sawa. โ– Kuwepo kwa mwelekeo mmoja. โ– Umejengwa kwa hisia za mapenzi kwa nchi. (b) Ni nini misingi ya kutathmini mzalendo? (maneno 60 – 70) (alama 9, 1 ya mtiririko) โ– Hawezi kushiriki kwenye shughuii zozote zinazohujumu mshikamano wa kitaifa. โ– Hawezi kutawaliwa na ubinafsi โ– Hujiepusha na ulafi wa kujilimbikizia mall. โ– hawezi kutenda mambo ya kuiletea nchi yakemaangamizo. โ– Yuko radhi kuhasirika kwa manufaa ya taifa lake. โ– Matendo yake huongozwa na mwenge wa wema. โ– Matendo yake huongozwa na ari kuiboresha nchi yake. 3.matumizi Ya Lugha (alama 40) (a) Tumia nomino yoyote katika ngeli ya 1-1 kutunga sentensi. (alama 1) โ– Mfano wa nomino ni kama: chumvi, sukari, mvua, chai, asali, furaha, huzuni, petrol nk. Mfano wa sentensi- Chumvi imemwagika. (b) (i) Nini maana ya silabi (alama 2) โ– Ni sauti moja au zaidi zinazotamkiwa kama fungu moja la sauti. โ– Silabi ni kipashio cha utamkaji ambacho hutumiwa kwa pamoja kama fungu moja la sauti. โ– Tamko, pigo, tamshi. (ii) Tunga neno lenye muundo huu wa silabi: Irabu + konsonanti + konsonanti + irabu afya, anza, ibia, enda, unga, uzwa, igwa, ugwa. (c) Tunga sentensi hii upya kwa kufuata maagizo: Wasichana wanaingia darasani kwa haraka (andika kinume chake) (alama 2) โ– Wasichana wanatoka darasani polepole/ taratibu/ asteaste/ halahala/ ala ala. (d) Tambua kiambishi awaii na tamati kati neno: Alalaye (alama 2) โ– A – awali o a – ye – tamati (e) Ainisha vivumishi katika sentensi hii: mzee mwenyewe ni mkongwe na amepewa zawadi kwa kuwa shamba lake lilitoa mazao mengi. (alama 4) โ– Mwenyewe – kivumishi cha pekee Mkengwe – kivumishi cha sifa Lake -kivumishi kimilikishi Mengi – kivumishi cha idadi (f) Askari wasipopiga doria wala kushikiana na raia hawatakuwa wametuhakikishia usalama. (yakinisha sentensi hii) (alama 2) โ– Askari wakipiga/ wanapopiga/ wapigapo/ watakapopiga doria na kushirikiana na raia watakuwa wametuhakishia usalama. (g) “Shughuli yetu itakamilika kesho”, mama alimwambia mwanaye Juma. (Andika katika usemi wa taarifa). (alama 2) โ– Mama alimwambia mwanawe/ mwanaye Juma kuwa shughuli yao ingekamilika siku ambayo ingefuata. (h) Changamua sentensi ifuatayo kwa kielelezo cha matawi. Mpria ulichezwa tulipokuwa tukipika.(alama 3)   (i) Dhihirisha matumizi matatu tofauti ya kimaana yatakayotokea ketenzi “ona” kikinyambuliwa katika kirai hiki “ona ndoto”. (alama 3) โ– Onea ndoto โ– Onewa ndoto โ– Oneshwa ndoto โ– Onesha ndoto โ– Onoana ndoto (j) Eleza matumizi ya hali za “ka” na “hu” katika sentensi zifuatazo: (i) Balozi huja hapa kila mara. (alama 1) โ– Hali ya mozoca kila mara kila siku mara kwa mara (ii) Mpishi alipika, akapakuwa na akagawa chakula. (alama 1) โ€ข vitendo vinafuatana Mfulultzo wa vitendo Mfuatano wa vitendo Kufululizwa kwa vitendo (k) Eleza maana mbili zinazojitokeza katika sentensi: Tuiiitwa na baba. Mtendaji ni baba โ– Mtu mwingine alituita mimi pamoja na baba. Sisi pamoja na baba โ– Mimi na mtu mwingine tuliitwa na baba Mimi na watu wengine tuliitwa na baba. (I) Akifisha: Shangazi alimwambia mwanawe njoo nikupcleke kwenu jioni mtoto aliuliza kwetu wapi?(alama 4) โ– Shangazi alimwambia mwanavve, “Njoo nikupeleke kwenu jioni.” “Mtoto aliuliza, “Kwetu wapi?- (m) Eleza matumizi mawili ya kiambishi -ji-.(alama 2) โ– Mwanzoni mwa baadhi ya nomino katika ngeli ya LI-YA. โ– Kujirejeiea/ kircjeshi cha mtenda/ kujitendea.

KCSE Past Papers 2016 Kiswahili Paper 2 (102/2) Read Post ยป

Uncategorized

KCSE Past Papers 2017 Kiswahili Paper 3 (102/3)

2017 Fasihi Karatasi ya 3 Sehemu A: Fasihi Simulizi Majibu Lazima (20 marks) (a) โ€œHuu ni wimbo wa sifa.โ€ Thibitisha kauli hii kwa kutoa mifano mitatu kutoka kwenye utungo huu. (alama 3) (i). Kuonyesha Mbwene kama aliye jasiri- aliwakabi1i_kwa kitali kikali. (ii). Kumrejelea Mbwene kama shujaa asiyeshindWa- hawakujua kwamba mbele ya mhimili huu wetu Walikuwa vipora. (iii). Kumtaj aanayesi๏ฌwa kwa maj ina mbalimbali-Mbwene, Mwana wa Ngwamba, Upepo wa Kusi, Mhimili. (iv). Kumsawiri kama bingwa wa kupindukia- Hakuwa na kifani. (v). Kusi๏ฌa ushindi//kitali alichopigana. Wagundi walijua Walikuwa na mwana wa Ngwamba/kwetu kukenda kicheko. (b) Andika sifa tatu za jamii ya nafsi neni katika utungo huu. (alama 3) (i) Ni wakulima- kurejesha vikataa. (ii). Ni wafugaji kurejesha mifugo. (iii). Utekaji nyara – kuwaokoa vipusa wetu. (iv). Mazoea ya uchokozi/ kupigana vita- walikuja kwa ndimi zilizojaa matusi. . .aliWakabi1i Mbwene, nao wakalipiza. (c) Huku ukitoa mifano, bainisha vipengele vinane vya kimtindo ambapo nafsineni imetumiwa kufanikisha uwasilishaji wa umngo huu. (alama 8) (i). Matumizi ya vihisishi iIi_kuibua hisia/kusisitiza ujumbe โ€” ah, ee (ii). Usambamba -wali wakibeba sime -Wali wakibeba mata – Wali wakibeba mienge – kuirej esha hadhi yetu -kuirejesha mifugo yetu (iii). Sitiari- Walivipora (iv). Tashbihi โ€” ja samaki kwenye dema (v). Lakabu โ€” Upepo wa Kusi. (vi). Nahau โ€” cha kufa na kupona -kitali kikali. vii. Chuku- kupigana (N gwamba) kwa siku kumi bila kula wala kunywa. (viii). Tanakuzi – kicheko โ€” kilio (ix). Miundo ngeu ya sentensi/ ku๏ฌnyanga saru๏ฌ -wetu mabarobaro – matusi kutumwaiya (x) Inkisari- zilohimili, kukcnda. (xi) TasWira- utungo unasawiri picha ya mapigano. (xii) Matumizi ya mistari mishata ili kuibua taharuki- ya moto kutangazia. . . (d) Tungo za aina hii zinaendelea ku๏ฌ๏ฌa katika jamii yako. Fafanua hoja sita utakazotumia kuishawishi jamii yako kukinga dhidi ya hali hii. (alama 6)   Kuwatambua mashujaa Kurithisha utamaduni wa jamii Ni kitambulisho cha jamii. Hutumiwa kuwafunza vijana mbinuishi kama vile ujasm, kutoa maamuzi yafaayo. . .. shujaa anahitaji kutoa maamuzi kwa kuzingatia mahitaji ya jamii yake. Hukuza uzalendo, jamii inaweza kuwatmnia Wanaosi๏ฌwa kama vielelezo vya uzalendo. Hupitisha historia ya jamii, hivyo kuwafunza vijana kuhusu kwa mfano, maadui Wa jamii zao, vita vilivyopiganwa na mafanikio yaliyo๏ฌkiwa. Ni nyenzo ya kurithisha fani yenyewe ya uimbaji. Hukuza ubunifu. Kadiri vijana wanavyosikiliza nyimbo za aina hii zikiimbwa, ndivyo wanavyojifunza mitindo mbalimbali ya utungaji na uwasilishaji. Hutumiwa kuonya dhidi ya matendo hasi kama vile usaliti/ huadilisha. Ni njia ya kupitisha maarifa, kama vile ya kupigana vita. Mtu kufahamu: ni lini atashambulia, ni lini ataepuka shambulizi. Hukuza utangamano/ushirikiano. Watu wanapoimba nyimbo hizi pamoja hujihisi kuwakundi moja linalomuenzi shujaa mmoja. Ni njia ya kujibumdisha. Ni nyenzo ya kupitisha Wakati, badala ya kujiingiza kwenye vitendo visivyofaa. . Hupitisha amali na tamaduni za jarnii. Desmri za jamii hutajwa katika baadhi ya nyimbo. Mtahiniwa anaweza pia kupendekeza njia za kudumisha kipera hiki. Baadhi ni:(i) Kuzihifadhi kwenye maandishi Kuzihifadhi kwenye kanda Kuzifanyia uta๏ฌti Mashindano ya tamasha za muziki Kuzifunza shuleni iii) Kuwahimiza vijana kuzitunga (6xl) Kutaja- โ€˜/2 Mfan0/ kueleza-‘/1 Tanbihi Mtahiniwa anaweza pia kuj adili hasara za kutourithisha utungo wa aina hii, akawa anaionya jamii yake dhidi ya kutourithisha. SEHEMU B: RIWAYA K. Walibora: Kidagaa Kimemwozea Jibu swali la 2 au la 3. 2. โ€œLakjni waliogopa…waliogopa hata kuwa na uoga.โ€ (a) Eleza muktadha wa dondoo hili. (alama 4) (i) Haya ni maneno ya mwandishi/msimulizi. (ii). Yanawarejelea raia ya Sokomoko. (iii) Wanaugulika kwa dhuluma za Mtemi mara tu baada ya kurithi mamlaka kutoka kwa Mzungu.(iv) Wanalalamika kwa min0ngโ€™0n0 kwa vile Wanaogopa adhabu ya Mtemi. (b) Bainisha tamathali moja ya usemi ambayo imetumiwa katika dondoo hili. (alama 2) Chuku โ€” kuogopa hata kuwa na uoga. Woga umepigiwa chuku. (c) Kwa kurejelea hoja kumi na nne kutoka kwenye riwaya hii, thibitisha kwamba raia wa Tomoko walistahili kuogopa hata kuwa na uogaโ€˜ (alama 14)   Utawala wa mkoloni kunyakua mali ya Waafrika na kuwatefรฉkezea kwenye sehemu duni  Watu kuuawa na Mazungu na kumpwa kwenye Mto Kiberenge  Ukatili Wa Mtemi โ€” mauaji ya Chichiri Hamadi na Mama Imani. Kutumia vyombo vya dola kukabiliana na upinzani. Anawatia Amani, Imani na Matuko Weye korokoni. Wizi wa mali ya umma โ€” Nasaba Bora kunyakua shamba la Chichiri Hamadi Utawala wa kiimla โ€” tunaambiwa ulimi wake ulitoa amrisho na cheche za moto (uk. 14) Matusi โ€” tunaambiwa ulimi wake ulitoa karipio na matusi. (uk. 14) Kukiuka haki za watoto โ€” Nasaba Bora anakitupa kitoto mlangoni pa Amani. Kuachiwa majukumu โ€” Nasaba Bora anampagaza Amani ulezi wa mtoto wake. Upufuju wa maadili โ€” Nasaba Bora kuhusiana kimapenzi na Insichana mdogo. Wizi Wa kitaaluma โ€” Majisifu kuiba mswada wa Arnani. Dhiki ya kisaikolojia โ€” Amani kulazimika kuchimba kaburi la Mterni angali hai. MtemikumpigaAmanikikati1ikwa shumma ambazo hajathibitsha Askari kumpiga Mama Imani kikatili na kusababisha kifo chake Majirani Wa Imani kutorntetea anapochomewa nyumba na Mtemi. Kimya chao kinamhuzunisha Imani. Serikali kuwatelekezea Wazee kamavile Matuko Weye kwenye ugonjwa na umaskini Usaliti wa kimapenzi. Michelle kumwacha Major N00n/ Majununi. Maturnizi mabaya ya dawa. Oscar Kambona anapatikana na bangi, anafungwa. Uchochezi ~ Wanafunzi wanamsingizia Amani kwamba kawachochea dhidi ya serikali, ana๏ฌmgwa Kutoshughulikiwa kwa watoto wenye mahitaji maalum. Majisifu kuwaonaโ€˜watot0 Wake kuwa mashizi. Viongozi kutowahakikishia raia huduma bora za afya. Pesa zilizotengewa uj enzi wa hospitali zinatumiwa vibaya; wanaishia kujenga . zahanati. . Nasaba Bora kulipa wcma kwa ukatili. Licha ya DJ kumletea barua, Nasaba Bora anakataa kumpeleka hospitali anapoumwa na jibwa lake. . Unyanyasaji wa kijinsia Nasaba Bora anamwachia mkewe upweke; ati anakwenda kusuluhisha migogoro ya mashamba. Ubakaji โ€” Ben Bella ni mbakaji, ni sugu wa jela. Wizi wa mitihani โ€” wazazi wa Fao kumwibia mtihani Mwalimu Fao kuhusiana kimapenzi na mwana๏ฌmzi wake. Anamtunga mimba. Nasaba Bora kuwatoza raia kodi ili kumpelcka mwanawe ngโ€™ambo Nasaba Bora kuwafuta wafanyakazi kwa sababu zisizo na msingi kama vile kunadhifisha mazingira. Nasaba Bora na Majisifu kuwalipa wafanyakazi mshahara duni Wauguzi kutomtibumtoto wa kina Imani na Amani. Mtoto anakufa. Nasaba Bora kumuua paka kikatili Nasaba Bora kumtaliki mke wake na hali yeye arnekuea mzinifu Bi Zuhura kutaka kuhusiana kimapenzi na kij ana md0go/ anataka kumhuj Lunu Amani. Kuzorota kwa huduma za kiafya- DJ anatoroka kwenye zahanati kutafuta tiba ya kienyeji kwa kukosa rnatibabu

KCSE Past Papers 2017 Kiswahili Paper 3 (102/3) Read Post ยป

Uncategorized

KCSE Past Papers 2017 Kiswahili Paper 2 (102/2)

2017 Kiswahili Karatasi ya 2 Lugha Ufahamu Maswali na Majibu: (Alama 15) (a) โ€œKufauikiwa kwa watu wenye mahitaji maalumu ktmategemea jamii.โ€ Thibitisha kwa kutoa hoja sita kutoka aya tatu za kwanza. (alama 6) Wazazi Wanampeleka Bahati shuleni. Bahati kupata dhiki ya kisaikolojia kwa kudhihakiwa Wazazi kumtafutiaB ahati mlinzi wa kumkinga na wateka nyara. Bahati na wengine kama yeye kusoma hati za kawaida hapo awali Bahati kubaguliwa kazini Serikali kuhakikisha matini zimeandikwa kwa hati inayoweza kusomwa na Walemavu Wazazi hawamfunzi Bahati mbinu za kujilinda, hivyo anajihisi mfungwa. Walanguzi Wa Watu kuhatarisha usalama wa watoto wa aina ya Bahati Ukoo kuamua kuangamiza watoto wenye ulemavu Bahati kudhihakiwa shuleni/kutengwa na Wenzake Mama/wazazi kuamua kumhifadhi Bahati Tanbihi Mtahiniwa anaweza kuangazia dhuluma pekec. Anaweza pia kuangazia utekelezaji wa haki kwa Watu Wenye mahitaji maalumu pekee. Anaweza pia kuchanganya hoja. Mradi amedondoa hoja sita. ((b) Kwa kurejelea aya ya nne hadi ya saba, onyesha jinsi unyanyasaji Wa kijinsia unavyoendelezwa katika jamii hii. (alama 3) (i). Muuguzi kutalikiwa kwa kutopata mtoto (ii). Watoto Wa kike kuonekana kuwa mzigo/si Watoto (iii). Kusimangwa na mavyzia โ€” kuwa hajazaa Watoto. (c) โ€œMsimulizi anahimiza. uwajibikaji.โ€ Thibitisha kwa kutoa hoja nne kutoka aya tatu za โ€˜ mwisho. (alama 4)   Mume kuondoka bila neno kwa mkewe ~ anakuja kuomba msamaha. hisia za mama/wazazi Mume kumjuza mke uamuzi wa ukoo Mume kulipia gharama ya matibabu Msimulizi kuamua kukihifadhi kitoto chake Msimulizi anakashifu mtazamo Wa jamii kuhusu watoto wa aina hii. (aya ya mwisho) ‘ Tanbihi Mtahiniwa anaweza kuonyesha uwajibikaji au hata ukosefu Wa uwajibikaji. Anaweza kuchanganya hoja pia.(d) (i) Andika kisawe cha, โ€˜hisaniโ€™ kwa mujibu wa taarifa. (alama 1)   Hisani- fadhila, shukrani (alama 1)(ii) Eleza maana ya, โ€˜kuupaka masiziโ€™ kulingana na taarifa. (alama 1)   Kuupaka masizi โ€” kuuharibia sifa/ kuuaibisha2. Ufupisho Maswali na Majibu: (Alama 15) (a) Fupisha ujumbe wa aya nne za kwanza kwa maneno 90. (alama 8, 1 ya mtiririko) Matayarisho Sayansi na teknolojia zimerahisisha maisha ya binadamu. Mashine zimerahisisha utenda kazi. Mtu anaweza kusomesha hata bila kuwepo. Kuimarisha shughuli za uta๏ฌti Kurahisisha usajili Wa wanafunzi na watahiniwa vii. Kuimarisha matibabu kupitia uta๏ฌti Kufanya udososi hapo hapo Kurahisisha ubadilishanaji bidhaa Kuhifadhi na kutuma pesa Kulipia huduma(b) Fafanua masuala ambayo mwandishi anaibua katika aya tatu za mwisho. (maneno 70) (alama 7, 1 ya mtiririko)ย Nakalasa๏ฌ . Nafasi ya uvumbuzi wa kisayansi Kuzorotesha utenda kazi Kuingilia uhuru Wa kibinafsi Kuwatisha wengine Kuwamsi na kuwadhalilisha wengine Kuwatapeli vii. Wizi Wa kitaaluma vm. Upujufu Wa thamani ya n1tihani/ Wizi Wa mitihani Visa vya kigaidi kuendelezwa kupitia mtandao Kumomonyoa mshikamano wa kifamilia- mawasiliano ya sirnu badala ya ana kwa ana Vijana kupuuza masomo kwa kuwa Waraibu wa mtandao Binadamu huweza kupata mafundisho ya kidini kupitia mtandao. Kupalilia ukosefu wa ajira Binadamu atumie teknolojia kwa njia endelevu ili kujifaidi.3. MATUMIZI YA LUGHA: (Alama 40) (a) Andika tofauti moja kati ya sauti zifuatazo: (alama 2) (i) /ngโ€™/na/gh/– /ngโ€™/ni nazali na /gh/ni kikwamizo (ii) /v/ na /f/– /v/ ni ghuna na /f/ sighuna. (iii) /r/na/l/– /r/ ni kimadende na /l/ ni kitarnbaza. (iv) /m/na/n/– /m/ hutamkiwa midomoni i1hali/n/ ni ya u๏ฌzi. (b) Andika. (i) konsonanti, konsonanti, konsonanti, irabu, konsonanti, irabu mfano:mbweha, ngwena, ndwele (ii)konsonanti, konsonanti, irabu, konsonanti, irabu mfano:ndama, mkate, ngama, ndizi, mkeka (c) Tunga sentensi mbili kuonyesha matumizi mbili ya kiambishi O   Kirej eshi cha nafsi ya tatu wingi โ€” Wafanyakazi walioajiriwa wana bidii.  Kirejeshi cha ngeli ya U โ€” I โ€” Umoja Mgiu uliotibiwa umepona. Kirejeshi cha ngeli ya U โ€” ZI โ€” umoja Ufa uliozibwa ni huu, Kirejeshi cha ngeli ya U โ€” YA โ€” umoja Ugonjwa huu ndio uliotibiwa. Kirejcshi cha ngeli ya U โ€” U โ€” Wema aliomonyesha ulituvutia. Kuonyesha tokeo la kitu/kuonyesha nomino/unominishaji(d) Andika sentensi zifuatazo upya kulingana na maagizo. (alamaโ€˜2) (i) Mhalifu alisamehewa kwa sababu alinyenyekea. (Geuza maneno yaliyopigiwa mstari kuwa nomino.) – Mhalifu alipata (alipewa) msamaha kwa sababu (kwa) unyenyekevu wake. (ii) Waigizaji wengine wameingia jukwaani. (Tumia kivumishi cha idadi chenye kuonyesha nafasi katika orodha.) – Waigizaji wa kwanza/wa mwisho wameingia ju.kwaani (e) Tunga sentensi ukitumia kirai kihusishi kama kielezi. (i)Mama huyo aliwapenda wanawe kwa dhati. ii. Bendera ilikuwa juu ya mlingoti. (iii). Mkurugenzi aliwasili kabla ya mkutano kuanza. iv. Kaire ni mrefu kuliko baba yake. (f) Unganisha sentensi zifuatazo kwa viunganishi mwafaka. (i) Kheri aliweza kutujengea hospitali. Atajenga zahanati pia. – Kheri aliweza kutujengea hospitali sembuse zahanati! (ii) Zumari anasomea unasheria vile vile Maki anasomea unasheria – Zumari na Maki wanasomea Uanasheria. (g) Onyesha miundo ya nomino ka๏ฌika ngeli ya A โ€” WA. Nomino zinazoanza kwa โ€˜mโ€™ katika umoja na โ€˜Waโ€™ katika wingi. Mfano: Mbunge ~ Wabunge ii. Zinazoanza kwa mw katika umoja na wa katika wingi. Mfano Mwanasheria ~ Wanasheria j n m. Nomino za pekee zinazotaja watu. Maria ametutembelea. iv. Zinazoanza kwaโ€™kiโ€™ katika umoja naโ€˜vyโ€™ katika wingi a) Kijana huyu ameheshimika. Vijana hawa wameheshimika. b) Kiboko angalimajini. Viboko wangali majini. v. Ambazo hazina mianzo maalum ila huchukua viambishi A โ€” WA vya upatanisho wa kisaru๏ฌ. Kwa mfano, simba, kuku, bata, mama, baba. Simba huyu amehifadhiwa. Simba hawa wamehifadhiwa. (h) Tunga sentensi katika wakati uliopo hali isiyodhihirika. (i) Wanariadha Wacheza uwanj ani. ii. Jua lachomoza asubuhi. iii. Sisi twasoma vitabu. iv. Mwalimu afundisha darasani. )ย (i) Andika sentensi ifuatayo katika umoja. โ€˜ Maseremala walilainisha mbao hizo wakatutengenezea meza. – Seremala alilainisha ubao huo akanitengenezea meza. (j) Andika upya sentensi zifuatazo kulingana na maagizo. . (i) Kaumu amewafanya mifugo wangu wanywe maji. (Anza kwa: Mifugo wangu , usitumie, โ€˜amewafanyaโ€™.) Mifugo wangu wamenyweshwa maji na Kaumu. (ii) Wanakijiji wanaishi karibu na msitu. Wanakijiji hawawavamii wanyama. (Ungamsha kuunda sentensi ambatano.) Wanakijiji wanaishi karibu na misitu lakini|ila|bali|i1hali hawawavamii wanyama (k) Andika sentensi ifuatayo katika hali ya ukubwa. Ngoma hizo zao ziliibwa na wezi Wale. Magoma hayo yao yaliibwa na majizi yale. (I)Tumia โ€˜kwaโ€™ katika sentensi kuonyesha: (i) schemu ya kitu kizima (alama 1) Watoto Watatu kwa kumi hupata chanjo hiyo (ii) namna tendo lilivyofanyika (alama 1) Wengine walipata tisa kwa kumi katika tamrini hiyo.ย Andika sentensi ifuatayo katika usemi wa taarifa. (alama 2) โ€œKusoma kwa mapana kutapalilia ubunifu wa wanafunzi hawa wenu,โ€ mtaalamu akatuambia. – Mtaalamu alituambia kwamba kusoma kwa mapana kungepalilia

KCSE Past Papers 2017 Kiswahili Paper 2 (102/2) Read Post ยป

Uncategorized

KCSE Past Papers 2017 Kiswahili Paper 1 (102/1)

Kiswahili Paper 1 (102/1) 1. (i) Hili ni swali ambalo linamhitaji mtahiniwa kuandika barua rasmi kwa mhariri. (ii) Kaida Za uandishi Wa barua rasmi zi๏ฌlatwe. (iii) Vipengele viwili vya tungo za aina hii vishughulikiwez. I. Muundo na m๏ฌndo. (a) Sura ya barua kwa mhariri (i) Anwani mbili โ€” ya mwandishi โ€” ya Mhariri Wa Gazeti la Mzalendo (ii) Tareheย – baada ya anwani ya mwandishi b) Mwili ii) Utanguliziย – Kongowezi/mtajo: Kwa Mhariri. .. – Kusudi- Kiini cha barua kijitokeze kwenye mada hii. – Aya ya kwanza iangazie kusudi la kuandika. – Hoja zijadiliwc kwa kupangwa kiaya. Kila hoja ijadiliwe na kukamilika kwenye aya mahsusi. iii) Hitimisho Mtahiniwa ahitimishe rnawazo yake. Maoni yake kuhusu kiwanda hiki yajitokeze. iv) Kimalizio Sahihi, jina na cheo cha mwandishi kijitokeze. (b) Mtindo Hii ni barua ya maoni wala si ya malalamishi. Hoja zijadiliwe kwa namna ambavyo msimamo wa mwandishi utajitokeza. Lahaja sanifu ya Kiswahili itumiwe. Urasmi udumishwe. Tanbihi Ikumbukwe kwamba barua hii bado haijachapishwa katika gazeti, hivyo sharti iwe na anwani zote mbili. Mhariri ndiye auayehariri baadaye na kutoa mojawapo. Mtahinjwa akiandika anwani moja atakuwa amepungukiwa kimuundo. II. Maudhui Mtahiniwa aonyeshe faida na hasara/matatizo yanayoweza kutokana na kiwanda hiki. Baadhi ya hoja ni: Faida (i) Kusaidia katika ujenzi (ii) Kuboresha makazi (iii) Kubuni nafasi za kazi (iv) Riaia kindandaki kupata soko kwa bidhaa, kama vile chakula, zinazozalishwa humo (v) Kuchochea kuirnarishwa kwa miundomsingi (vi) Husaidia ukuaji wa viwanda vingine vinavyosaidia shughuli za kiwanda hiki. (vii) Kukuza utangamano kati ya wageni na raia (viii) Kuwafunza//kuwarithisha raia stadi Za ufyatuaji matofali kwa njia ya kisasa. (ix) Kupunguza idadi ya vijana wanaohamia mijini kutafuta kazi. (x) Kudhibiti visa vya ukosefu wa usalama, kutokana na vijana/Watu ambao hawana ajira. (xi) Kuimarisha stadi ya uta๏ฌti- raia kutafuta njia endelevu za kucndeleza kiwanda hiki baada ya Wageni kuondoka (xii)Kupalilia stahamala ya kij amii- raia na wageni kujifunza kutambua na kuheshimu tofauti zao za kitamaduni Hasara (i) Huenda wageni wakaja na wafanyakazi Wao, hivyo kutowafaidi Wenyeji. (ii) Huenda kikaua viwanda vingine vya aina hii. (iii) Kuzorota kwa maadili, hasa wafanyakazi Wa kigeni wanapotagusana na Wenyeji kwa njia isiyofaa. (iv) Kupalilia ajira ya watoto; baadhi ya vijana kuvutiwa na pesa na kujiunga na shirika hili (v) Kukatishwa kwa masomo ~ vijana kuacha shule ili kufanya kazi (vi) Ndoa za mapema- baadhi ya vijana huenda Wakaacha masomo na kuolewa wakiwa wachanga. (vii)Kinaweza kupalilia ukosefu wa usalama- baadhi ya watu kutaka kuwaibia wenye kiwanda. Tanbihi i) Mtahiniwa aangazie angaa changamoto mbili. ii) Hitimisho ionyeshe msimamo wa mwandishi. Pengine aonyeshe kwamba japo kuna hasara natija inazidi hasara hii. Anaweza kuipongeza serikali kwa kiwanda hiki. iii) Kaida nyingine zote za usahihishaji Wa insha zizingatiwe kama ilivyo kwenye mwongozo wa kudumu. 1. Umuhimu Wa vyama vya wanafunzi Huwezesha wanafunzi: (i) Kupalilia vipawa vya uongozi โ€” kwa mfano kupitia vyama vya riadha ambapo kuna mwanafunzi ambaye ni kinara. (ii) Kukabilina na changamoto โ€” kwa mfano Chama cha Washauri Marika ambacho hueleke- za wenzao kuhusu namna na kutatua matatizo. (m) Kupalilia maadili ya kidini- kwa mfano kupitia vyama vya kidini kama vile CU, YCS, CA. (iv) Kukuza utangamano- wanafunzi wanapokuja pamoja katika shughuli za chama. (v) Huimarisha mbinu za kushawishi, kwa mfano kupitia Chama cha Mjadala. (vi) Kujiimarisha kielimu โ€” kupitia Chama cha Mjadala/Mdahalo ambapo wanafunzi hub- adilishana maarifa. (vii) Kutumia nishati kwa njia chanya- Badala ya kuingilia vitendo viovu Wanaweza kujiunga na vyama kama vile vya lmhifadhi mazingira shuleni. (vii) Kuimarisha ubunifu โ€” kwa mfano kupitia Chama cha Waandishi/Uchapishaji. (ix) Kuelekezwa kitaaluma ~ kwa mfano kupitia Chama cha Viongozi Chipukizi na Chama cha Wakulima ambavyo hushughulikia masuala ya kitaaluma. (x) Kujenga ukakamavu na kujiamini โ€” Chama cha Drama. (xi) Kujipumbuza โ€” Chama cha Drama. (xii) Kuj enga stahamala โ€” hali ya kuwakubali Wengine jinsi walivyo- kupitia mitagusano yao katika shughuli za chama. (xii) Humwezesha mwanafunzi kuratibu muda Wake ipasavyo ili kukabiliana. na majukumu ya vyama hivi pamoj a na mahitaji ya masomo. 3. Kisa kidhihirishe maana ifuatavo Jambo, hata likawa gumu vipi, likifanywa kwa kurudiwarudiwa mwishowe hufaulu. Au Hata mtu akikabiliwa na hali gumu vipi, na atie bidii kuitatua hali hiyo; asikate tamaa katika kuitatua, mwishowe hufanikiwa. Ruwaza zifuatazo zinaweza kujitokezaz (i) Mhusika/msimulizi azaliwe katika familia maskini, apate tatizo la karo, asikate tamaa, ajitahidi masomoni na mwishowe kufanikiwa. (ii) Mzazi awe na mtoto aliyepotoka kimaadili. Ajaribu kumrckebisha. Hali iwe ngumu, asi- kate tamaa, mwishowe afanikiwe kumrekebisha. (iii) Nchi ikabiliwe na tatizo la mkurupuko wa ugonjwa, madaktari waj aribu kwa udi na uvum- ba kupata tiba, rnwishowe wafanikiwe. (iv) Msimulizi/mhusika awe mwenye mahitaji maalum, ajaribu kukabiliana na adha zake, abaguliwe, asikate tamaa, mwishowe afanikiwe rnaishani/kitaaluma. (v) Mwanasiasa ajaribukupata kiti cha ubunge, akose mara mbili au tatu, asikate tamaa, awa- nie mara kwa mara, mwishowe achaguliwe. (vi) Mhusika atafute kazi kwa muda, asipate, aj aribu bila kukata tamaaa, mwishowe afanikiwe. Tanbihi Kwa vyovyotc vile insha lazima ionyeshe pande zote mbili za methali. Ugumu wa jambo ujitokezc, bidii au juhudi za kulishughulikial kutokata tamaaa kujitokeze, hatimaye mafanikio yaonekane. 4. (i) Hii ni insha ya mdokezo. (11) Inadokeza kwamba msimulizi ameyatenda makosa ambayo yanastahili kumfanya ajute. (11) Hata hivyo amekata shauri kujirekebisha. Hali zifuatazo zaweza kujitokeza (i) Msimulizi azembee masomo, asi๏ฌkie lengo la kielimu, atake kujuta lakini ajiase. (ii) Msimulizi atoroke kwao, ajiingize kwenye anasa. Pengine atunge mimba au aingilie matumizi mabaya ya dawa. A๏ฌkie mporomoko, lakini aamue kujirekebisha. (iii) Mhusika ajiingize katika ugaidi bila kujua. Angโ€™amue baadaye kuwa kapoteza utu wake. Atake kujuta, ajiase na kujirekebisha. (iv) Mwanafunzi atoroke shule, apatikane na mwalimu, aadhibiwe, pengine afukuzwe shule. Ateseke. Atake kujuta lakini ajikanye nakuamua kuyajenga maisha upya. (V) Mhusika ashiriki mauaji, asijulikane. Aishi kwa kusumbuliwa na dhamiri, anyongโ€™0nyee ki- hali na kimwili, a๏ฌkie uamuzi wa kujirekebisha. (vi) Mhusika awe mraibu wa vileo, azembee kazi, a๏ฌ1twe, ateseke, lakini awe na azima ya ku- jirekebisha. (vii) Mtahiniwa adanganye katika mtihani, agunduliwe, ibidi arudie masomo katika kiwango hicho Tanbihi (i) lakini awe na nia ya kujirekebisha. (ii) Kisa kioane na mwisho aliopewa. (iii) Asichopeke tu mwisho huu. Kisa kidhihirishe tatizo/matatizo ambayo yanasababisha mhusika/msimulizi ku๏ฌkia kilele cha kuvunjikiwa au kuteseka. (iv)Anapo๏ฌkia hali hii ndipo moyo unapomwelekeza kukata

KCSE Past Papers 2017 Kiswahili Paper 1 (102/1) Read Post ยป

Uncategorized

KCSE Past Papers 2018 Kiswahili Paper 3 (102/3)

Kiswahili Paper 3 (102/1) (a) Mtahiniwa abainishe hali duni ya maisha (au matatizo) ambayo nafsineni inaangazia. Mifano: (i) Umaskini Kuzunguka barabarani bila mavazi. – Vifurushi vitupu ndivyo milki yao. (ubeti 1) (ii) Ukiukaji wa haki za kรฎbinadamu โ€” watu wengi wanauawa bila haki kila wakati. (ubeti 2) (iii) Tatizo la uyatima โ€” vijana mayatima wa maskini kuzunguka mitaani. (ubeti 3) (iv) Vijana wanajidhalilisha kwa kula vyakula duni na hatari (kwa sababu ya uhitaji) bila kujua kwamba wanajiua katika harakati zao za kungโ€™angโ€™ania kuishi. (ubeti 3) (v) Wazee wanatelekezwa katika makao ya wazee โ€” hawana walinzi wala wauguzi. (ubeti 4) (vi) Wazee wanauawa polepole kwa kupewa chakula chenye vijasumu (kilichooza) (ubeti 4). (vii) Wakongwe wamepoteza urazini โ€” hali yao inasikitisha kwani wanajipakaza hata choo. (ubeti 4) Mazingira mabaya/magumu kwenye makao ya wazee yanakatisha tamaa. Wanaishi kwenye vyumba vyenye baridi na giza. (ubeti 4) (ix) Binadamu wamejawa na dhiki ya kisaikolojia. Wanaishi k.wa hofu kwa sababu ya vijasumu vyenye kutiwa kwenye chakula na kuhatarisha maisha yao. (ubeti 5) Mapuuza โ€” watu wanakula vyakula vyenye sumu/dawa bila kuwazia hatari yake. (ubeti 5) (xi) Watu wanadhulumiwa; wanafungwa na kukatishwa tamaa (tuliosukumwa kingoni maishani) na kadhalilishwa (tuliodidimiziwa kinyesini) iii maendeleo yapatikane, huku wao wakiwa katlka hatari ya kufa. Watu kulemazwa: wanapokonywa uoni( Ubeti wa 6) Kuwepo kwa viongozi wasiowajibika: wanaendeleza shughul za kimaendeleo ambazo zinahatarisha maisha ya wanyonge (b) (i) Urudiaji wa silabi/silabi zinazosikika kama sauti moja. Kwa mfano: zi โ€” katika: makazi, na mavazi (ubeti 1) kiโ€” katika: haki, wiki, spaki, bunduki (ubeti 2) ni โ€” katika: mitaani, maskini mapipani, tumboni (ubeti 3) za โ€” katika: wasiojiweza, kilichooza, wakijiangamiza (ubeti 4) fu โ€” katika: hofu, tifutifu, wafu (ubeti 5) Umuhimu:ย kujenga ridhimu/kulipa shairi muonjo/mdundo wa kimuziki/ kuleta urari wa vina. Ainaย โ€” alama 1 Umuhimuย โ€” alama 1 (ii) Urudiaji wa irabu/ sauti. Kwa mfano. โ€˜oโ€™ โ€” katika: wazungukao, wabebao (ubeti 1) Umuhimu:ย Kujenga ridhimu/kulipa shairi muonjo/mdundo wa kimuziki/ kuleta urari wa vina. Ainaย โ€” alama 1 Umuhimuย โ€” alama l (iii) Urudiaji wa vifungu vya maneno Kirai: โ€œKwa niaba yaโ€ kimerudiwa katika shairi zima (ndicho kinaanzia kila ubeti isipokuwa ubeti wa kwanza). Umuhimu i) Unasisitiza wazo kuu, kwamba nafsineni haijisemei tu โ€” ni sauti ya wanyonge wanaoteseka. ii) Kuchimuza/ kutambulisha toni ya shairi- nafsineni inachukizwa na hali ya maisha. Ainaย โ€” alama l Umuhimuย โ€” alama 1 (iv) Usambambaย โ€” urudiaji wa miundo sawa ya sentensi/vishazi/virai. Kwa mfano: (i) Leo sumu au spaki Leo kamba au bunduki (ubeti 2) (ii) Tuliofungwa vifungoni, duniani Tuliosukumwa kingoni, maishani Umuhimu i) Kuonyesha mtazamo wa nafsineni kuhusu masuala anayoibua; anayokashifu. ii) Kuchimuza toni ya shairi โ€” chuki, masikitiko Ainaย โ€” alama 1 Umuhimuย โ€” alama 1 Aina zozote 2 x2 (c)ย (i) Tasfida (i) Choo badala ya mavi. (Ubeti 4) (ii) Kinyesini badala ya kwenye mavi (Ubeti 6) 1 x 1 = 1 (ii) Kinaya 1. Ni kinaya kwamba vijana mitaani wanaokota chakula mapipani ili kuulinda uhai wao lakini vyakula hivรฎ vina vijasumu ambavyo vinawaua polepole bila wao kujua. (ubeti 3) 2. Nchi yaendelea huku ikiwaua watu polepole (Ubeti wa 6). iii) Tashibisiย โ€” maendeleo yaendelee kwenda njiani huku yakitema machicha ya roho zetu (Ubeti wa 6). 1 x 1 = 1 (d) Kufinyanga sarufi/ Kubananga lugha โ€” nyingi hofu, badala ya hofu nyingi. Imetumiwa ili kuleta urari wa vina. 1 x 2 = 2 Kutaja– alama 1, mfano- alama 1 (e) Nimeyaandika (maneno haya) kwa niaba ya (kuwatetea/kuonyesha dhiki za) wengi ambao wanauawa bila sababu (haki/kosa) kila wiki, kwa kutumia sumu, spaki, kamba au bunduki. Nimeandika pia Kwa niaba ya wale wanaosubiri kunyongwa. 2 x 1 Wanaouawa bila haki โ€” 1 Wanaosubiri kunyongwa โ€” 1 (f) Nafsineni ni mtetezi wa haki / mtu ambaye amechukizwa na hali ya maisha ya wanyonge na kujitolea kulalamika kwa niaba yao. Mfano. Ninaandika kwa niaba ya ….. Maelezoย โ€” alama 1 Mfanoย โ€” alama 1 2. a) (i) Hii ni kauli/tahakiki/maelezo kwenye blabu ya Kidagaa Kimemwozea, riwaya ambayo iliandikwa na Amani.ย Au: Ni tahakiki ya mhariri/ฤฑnsomaji wa mswada, ambayo imeandikwa kwenye blabu ya riwaya ya Kidagaa Kimemwozea iliyoandikwa na Amani.ย Au: Ni kauli ya Msimu1izi/ Mwandishi inayotokea katika riwaya ya Kidagaa xfmemwozea ambayo iliandikwa na Amani. (ii) Imani amemwazimia Amani riwaya hii miongoni mwa vitabu vingine, kutoka kwa Mwalimu Majisifu. (iii) Majisifu alikuwa ameiba mswada wa riwaya hii na kuuchapรฎsha mama wake. (iv) Amani anaisoma riwaya hii akiwa kwa Majisifu anapouguziwa na Imani. (v) Amani anagundua na kuthibitisha kwamba riwaya ni yake. Hata hivyo moyo wake una utulivu unaomtisha. (Vl)Anamwandikia Imani ujumbe mfiฤฑpi kumjuza kuhusu wizi huu. 4 x 1 = 4 Tanbihi i) Dondoo limetolewa uk. 140. ii) Matahiniwa sharti aonyeshe: Msemaji, kauli inatokea wapi kitabuni? Kuhusu nini? Lini? Yanayotokea baadaye. b)ย Maana ya ndoto kuwa jinamizi. Majibu ya mtahiniwa yanaweza kudhihirisha hali kama vile: (i) Mhusika kutofaidika na malengo ya baada ya uhuru (ii) Mhusika kutenda kinyume na matarajio ya jamii/kutotekeleza wajibu wake, hivyo kuwahasiri wengine Mhusika kuwatesa wanyonge licha ya uhuru Mhusika kuteseka pamoja na kwamba uhuru umefikiwa Mhusika kuwanyima wengine uhuru wao wa kibinafsi (I) Majisifu (i) Uhuru haujambadilisha Majisifu. Licha ya kuwa msomi, anashindwa kuudhibiti uraibu wake wa pombe. Analewa hadi analala kwenye ฤฑnitaro. Hata Nasaba Bora anasema anautukanisha ukoo wao. (ii) Anausaliti wajibu wake kama mwalimu kwa kutohudhuria madarasa kikaida. Hajahudhuria madarasa kwa takriban muhula mzima. Anaathiri maendeleo ya wanafiฤฑnzi wake katika elimu. Hata mpwa walce Mashaka anamkumbusha ahudhurie madarasa/ Anaendeleza uzembe ha kutohudhuria kazi. (iii) Ni miongoni mwa Waafrika waliopata vyeo na kuendelea kuiibia serikali saa za kazi. Mahudhurio yake mabaya kazini yanqamsababishia kufutwa. Anaendeleza wizi wa kitaaluma kwa kumwibia Amani mswada. Hii ni sura ya unyonyaji ambao uliendelezwa pia na Wazungu. Anaendeleza aina fulani ya ubaguzi โ€” unasaba. Akiwa mhariri wa gazeti la Tomoko Leo anahakikisha kwamba jina la Nasaba Bora linatokea kila mara. Anaendeleza unyonyaji/dhuluma kwa wafanyakazi kwa kumlipa Imani mshahara mdogo licha ya kwamba anamfanyiza kazi nyingi ya kuwalea watoto wake vilema. Pamoja na kisomo chake, anawadhalilisha watoto wake kwa kuwaita mashata. Anasaliti mojawapo ya malengo ya baada โ€” uhuru; kupigana na ujinga. Anapuuza haja ya kuwapeleka watoto wake wenye ฤฑnahitaji maalum kwenye shule maalum. Anashindwa kuheshimu thamani za kitaifa, Anashindwa kuendeleza maadili ya kidini ambayo alirithishwa

KCSE Past Papers 2018 Kiswahili Paper 3 (102/3) Read Post ยป

Uncategorized

KCSE Past Papers 2018 Kiswahili Paper 2 (102/2)

Majibu (a) โ€œMalengo yetu ya kuwateua viongozi yamesalitiwa.โ€ Thibitisha kauli hii kwa kurejelea hoja sita kutoka kwenye taarifa. (alama 6)   Vijana kusoma na kutopata kazi. Waliosoma kupewa kazi za hadhi ya chini huku wasiosoma wakiwa wakubwa. Raia kuteua viongozi wasiofaa kwa sababu ya ufisadi. Raia kutopata huduma walizoahidiwa, kama vile maji ya mabomba. Watoto wa maskini kutopata elimu licha ya kuwepo kwa hazina ya eneo bunge. Nyadhifa za juu kutwaliwa na watu wa nasaba moja/ukabila/unasaba. Viongozi kuwatumia vijana kulangua dawa. Viongozi kuwatunga mimba watoto. Ajira ya watoto. Hazina ya eneo bunge kutowafaidi watoto wanaohitaji zaidi msaada.(b) Eleza mchango wa wanyonge katika hali ya uongozi nchini Tungama. (alama 3)   Kupoteza nafasi ya kuuwajibisha uongozi kwa kupokea hongo/kuuza kura. Kuwaimbia viongozi nyimbo ili kuwapembeja raia wawapigie kura. Kuamini kwamba wanasiasa wote ni sawa; kukata tamaa ya kuchagua kiongozi tnwadilifu. (iv) Baadhi ya wale waadilifu kutojiunga na siasa โ€” kwa mfano, Angaza. 3 x 1 = 3(c) Bainisha mbinu nne ambazo Bi. Mkesha anatumia kuishawishi hadhira yake. (alama 4) Kujinasibisha na wasikilizaji wake ndugu wapenzi, mama mwenzangu. Maswali ya balagha ili kuwachochea/ kuwavutia kwake. Je, mnajua … Kuwasawiri wasikilizaji kama wanaofaa โ€” haya si mageni/anayasawiri mambo kama ya kawaida ili yeye na hadhira yake wayafasiri kwa namna sawa. (iv) Kuwaonyesha wasikilizaji wake kuwa ni mwenye mainlaka ya kuleta uthabiti katika uongozi. (v) Anajitenga na wanasiasa wengine na (kwa) kudokeza udhaifu wao. hawa hawa viongozi … ahadi ya โ€˜mwenzetuโ€™… (d) (i) Andika kisawe cha, โ€˜kuwapembejaโ€™ kwa mujibu wa taarifa. (i) Kuwapembeja โ€” kuwarai, kuwalaghai. (ii) Andika maana ya, โ€˜amejikoshaโ€™ kulingana na taarifa. (ii) Amejikosha โ€” amejitoa lawamani. 2. (i) Majukumu ya kijinsia yalikuwa bayana. (ii) Majukumu yalirithlshwa kwa vizazi. (iii) Vijana walifunzwa kukabiliana na majukumu. (iv) Jamii kuwa na matarajio kuhusu jinsia. (v) Mwanaume kutarajiwa kukimu familia. (vi) Mama kuwa na jukumu la malezi. (vii) Watoto wa kike kutarajiwa kuzilinda familia. (viii) Mama kuwa mwalimu. (ix) Watoto wa kiume kufunzwa kuwa wa kutegemewa.   Watoto wa kike walifunzwa kuzilinda jamii zao. Mama ndiye aliyekuwa mwalimu wa kwanza wa watoto wake. Watoto wa kiume walifunzwa umuhimu wa kuwa watu wa kutegemewa. Uchangainano wa jamii umesababisha kubadilika kwa mitazamo. Majukumu yameingiliana. Kwa mfano, wake wanafanya mambo ambayo awali hayakufanywa na jinsia hiyo. Idadi ya wanawake wanaofanya kazi ya ajira imeongezeka. Wanawake kusomea taaluma na nyanja zilizotengewa wanaume awali. Wanaume kufanya kazi zilizotengewa wanawake. Hali ya mwingiliano wa kimajukumu hupalilia mshikamano na kukabiliana na tofauti za kijinsia. Hufidia udhaifu wa wenzao. Mwingiliano wa majukumu unaweza kuathiri vibaya faida iliyotarajiwa, kama vile kutelekezea malezi kwa vljakazi. Baadhi hujisajili kwa kazi ili kushindana na wenzao. Hali hii huzua utengano na kusambaratika kwa ndoa. Kila jambo sharti liwe na mipaka/kuna majukumu yanayostahili kutengewa tu jinsia maalum na mengine jinsia zote/mipaka hii idumishwe.(b)Miambakofi Yatazoleka (c) (i) ki โ€” li โ€” nunu โ€” liw โ€” a wa โ€” li โ€” tembe lew โ€” a zi li โ€” jeng โ€” ew โ€” a (ii) Mi-kate โ€” (mi} wingi (kate} โ€” mzizi Vi-ti Ny-ufa (vi} โ€” wingi {ti} โ€” mzizi {ny} โ€” wingi (ufa} โ€” mzizi (d) (ฤฐ) Mtu mwaminifu huheshimiwa. (รœ) Wao ndio walioibฤฑฤฑka washindi. (iii) Mchuuzi alinunua kicha cha mboga. (iv) Seluwa ni mtiifu kama Maria / Seluwa ni mtiifu kuliko Maria. (e) (i) Ugwe โ€” U โ€” ZI. (ii) Lรฎmau โ€” LI โ€” YA Vifaa vya kutosha visingalikuwapo moto usingalidhibitiwa. Kama vifaa vya kutosha visingekuwepo moto usingedhibitiwa. Kama pasingekuwa na vifaa vya kutosha moto haingedhibitiwa. Vifaa vya kutosha visingekuwepo moto usingedhibitiwa. (g) Manahodha waliyakwepa majabali hayo vyoฤฑnbo vikafika fuoni salama. (h) Kwa mfano: Wanafunzi waliotia bidii masomoni walipata alama nzuri mno. Nomino kishazi kitegemezi kitenzi Nomino kivumishi kielezi (i) Barabara nyingi zitakuwa zikisakafiwa. au Barabara nyingi zitakuwa zinasakafiwa. (j) Wanafunzi wamefurahia kufika kwa wageni. Au Wanafunzi ivamefurahi wageni walipofika. Au Wanafunzi wamefurahi baada ya wageni kufika. (k) Maguo ambayo yanauzwa kwenye majiduka hayo yanavutia. (1) (i) Watoto wa Maki walilelewa na Muutu. (ii) Maji yalipojaa yalimwagika. Au Maji yalijaa yakamwagika. Au Maji yaliyojaa yalimwagika. Au Baada ya maji kujaa yalimwagika. (m) Sewe alituelezea jambo hilo tena. Au Sewe alituelezea jambo hilo mara mbili/mara kwa mara. (n) viongozi wengi โ€” kirai nomino walikuwa waadilifu mno โ€” Kirai tenzi waadilifu mno โ€” kirai vumishi kabla ya uchaguzi mkuu โ€” kitai husishi uchaguzi mkuu โ€” kirai nomino. (i) KN (W * V) +KT (Ts + T) + U + KN (ร˜) + KT (T) (ii) KN(N+KH)KT(T+E) Au KN( N+W+N) +KT( T*E) (i) Nyumba ni ya Medi. (ii) Nyumba ni ya mtu mwingine. (iii) Medi ndiye atairithisha nyumba. (iv) Mtu mwingine ndiye atairithisha nyumba. (v) Nyinyi (nafsi ya pili) ndio mtakaorithishwa. (vi) Wao (nafsi ya tatu) ndio watakaorithishwa. (q) โ€œJihadhariโ€ akasema Kulei, โ€œuamuzi wako unaweza kukuathiri vibaya.โ€ (r) Mkulima hahitaji magunia haya. (s) (i) kusifu โ€” kukashifu kupongeza โ€” kukashifu chache / haba/kidogo โ€” tele (iii) Nasaba/akraba/m1ango/ – ukoo Natija/tija – faida (t) Maana zifuatazo zijitokeze: (i) Kugawanya/kutenganisha, pengine kwa kisu. (ii) Ondoa sehemu ya kitu, kwa mfano, kukata ujira/kupunguza kitu. (iii) Chombo cha kuchotea maji mtunguni. (iv) Eneo la ardhi/sehemu inayoongozwa na kiongozi fulani k.v. Lokesheni. (v) Kitambaa au majani yaliyoviringwa kwa ajili ya kuwekwa kichwani kubebea mzigo. 4.(a) Kuibua utangamano kwa kuwarejelea waumini kama โ€˜nduguโ€™, โ€˜wenzanguโ€™. Kutaja jina la mwenyezi Mungu,/msamiati wa kidini. Kumsawiri binadamu kama anayehitaji huruma ya Mungu โ€” ni mwenye dhambi/anayetegemea huruma. (iv) Kurejelea vifungu/mifano kutoka msahafu.   Atumie lugha inayoeleweka na hadhira. Avute makini ya hadhira kwa kuwashirikisha, kwa mfano kupitia maswali ya balagha, kuwarejesha kwenye msahafu. Kutasifidi lugha pale inapohitaji. Lugha isiyowatia waumini unyanyapaa kwa mfano, aepuke kutumia kauli kama vile, โ€œukimwi unawapata wenye dhambi. .. utakuuaโ€. Huenda kuna walioathiriwa moja kwa moja na ugonjwa wenyewe. Kuzingatia fomyula na mtindo maalum/uliokubalika wa kuendeshea ibada ili wasikanganyike. Kurudia baadhi ya kauli iii kuwaaminisha waumini/kuwafanya waelewe. Kuchanganya msimbo ili kurahisisha uelewa. Kutumia miondoko na ishara ambazo zinakubalika na jamii โ€” lugha husika. Pale anapohitajika/inapobidi atumie toni kali ya kuonya. Atumie lugha inayotia tumaini na matarajio miongoni mwa waumini kuwa hali zao hata zingawa ngumu, zinaweza kutengenea. Atumie mbinu za kushawishi/lugha ya kushawishi ili kuwavutia waumini na kuwadumisha

KCSE Past Papers 2018 Kiswahili Paper 2 (102/2) Read Post ยป

Uncategorized

KCSE Past Papers 2018 Kiswahili Paper 1 (102/1)

2019 KCSE Kiswahili Paper 1 (102/1) Majibu 1. Hii ni insha ya kumbukumbu. Vipengele vya: (a) Kimuundo vya utungo wa aina hii vidhihirike kama ifuatavyo: (i) Kichwa : Kionyeshe : (a) Kundi linalokutana (b) Mahali pa mkutano (c) Tarehe ya mkutano (d) Wakati wa mkutano (ii) Waliohudhuria โ€” vyeo na nyadhifa zidhihirishwe. (iii) Waliotuma udhuru (iv) Ambao hawakuhudhuria (v) Waalikwa / katika mahudhurio/waliohudhuria, bali si wanachama (si lazima). (vi) Ajenda za mkutano (vii) Kumbukumbu zenyewe (a) Utangulizi (b) Wasilisho la mwenyekiti (c) Kusomwa na kuthibitishwa kwa kumbukumbu za mkutano uliopita/uliotangulia (d) Yaliyoibuka kutokana na kumbulcuinbu hizo (e) Masuala yanayojadiliwa leo / masuala mapya (kulingana na ajenda). (viii) Masuala mengineyo (ix) Hitimisho: (i) sahihi, jina la Mwenyekiti na tarehe (ii) sahihi, jina la Katibu na tarehe (b) Maudhui (i) Mtahiniwa adhihirishe majadiliano na uamuzi uliofฤฑkiwa na wanachama kuhusu hali ya uhabirifu wa mazingira shuleni na katika ujirani wa shule/eneo lao/mtaa. (ii) Madhara (hatima) ya uharibifu huu yajitokeze. Zifuatazo ni baadhi ya hoja: (i) Utupaji taka ovyo wa wanafunzi โ€” umesababisha hali kama vile kuambulia magonjwa kama vile pepopunda kutokana na kukatwa na vigae vya chupa. (ii) Ukataji wa misitu kwenye ujirani ambayo ingepunguza madhara ya upepo mkali. (iii) Kuacha miti na magugu kujiotea ovyo karibu na majengo ya shule; hiudhoofisha usalama kwani vichaka vinaweza kuwa makao muffi ya majangill rla wanyama/wadudu kama vile mbu. (iv) Viwanda kwenye ujirani wa shule kuelekeza taka shuleni; matokeo yakiwa magonjwa ya aina mbalimbali. (v) Mioshi kutoka mabiwi ya taka yanayochomewa karibu na shule. (vi) Kelele kutoka kwenye magari yanayopita karibu na shule; zinavuruga utulivu madarasani. (vii) Maeneo ambayo yanaweza kutumiwa kupandia vyakula kutumiwa kwa ujenzi, hlvyo kutรฎshia kutojitosheleza kwa chakula. (viii) Majengo yaliyosongamana kwenye ujirani wa shule kuwa hatari wakati wa janga kama vile janga la ฤฑnoto. (ix) Upuliziaji dawa mimea kwenye mashamba jirani; dawa hizi zinaweza kuwadhuru baadhi ya wanafunzi ikiwa upuliziaji haudhibitiwi. (x) Kuelekeza taka kwenye mito/mto ulio karibu na shule huchafua maji yanayoweza, kutumiwa na wanafunzi. Taka hizi huua wanyama wa majini. Tanbihi Hii ni kumbukumbu, si ripoti sharti majadiliano yadhihirike na uamuzi uliofikiwa kuonyeshwa. 2. Utungo uonyeshe madhara ya kudanganya katika mitihani, kwa mwanafunzi na kwa jamii yake. Hoja zifuatazo zijadiliwe: (i) Udanganyifu husababisha kupata alama ambazo hazilingani na kiwango cha utambuzi cha mwanafunzi. (ii) Huenda mwanafunzi akapatwa na wasiwasi na hivyo kutofanya vyema. (iii) Hupalilia upujufu wa maadili hasa unapokuwa na mazoea. (iv) Humletea mwanafunzi fedheha/hushusha hadhi ya mwanafunzi. (v) Hushusha hadhi ya shule. (vi) Huvifanya vyeti vya nchi/vilivyotuzwa na mabaraza ya mitihani nchini kutothaminiwa/kutoaminika kimataifa. (vii) Wanafunzi wanaweza kukosa nafasi katika vyuo vya kimataifa kutokana na sifa mbaya ya mitihani nchini mwao. (viii) Udanganyifu unapogunduliwa mwanafunzi hupoteza matokeo. (ix) Mwanafunzi kuwa mzigo kwa wazazi kulazimika kulipa karo tena ili arudlC. Wazazi kufedheheka. (x) Baadhi ya wanafunzi hujiua udanganyifu unapogunduliwa. Xi) Hudhoofisha viwango vya elimu kwani baadhi ya walimu hungojea kufunza yale tu yaliyo kwenye mtihani ulฤฑosambazwa kwao. (xii) Kufutwa kwa baadhi ya walimu wanaoshukiwa kuhusika na udanganyifu. Wanafunzi waliodanganya kufanya kazi wasizozimudu; hulazimika kubadilisha kozi au kuacha masomo. (xiii) Kuvyaza wanataaluma ambao humudu kazi zao. Kudidimiza ubunifu kwani wanafunzl hungojea kupewa maswali, kuyatafutia majibu iii kukidhi haja ya kupita mtihani tu. (xiv) Husababisha uharibifu wa mali; wanafunzi wanaoshindwa kupata maswali ya mtihani awali, huanza kujiingiza katika vitendo vya utovu wa nidhamu kama vile kuchoma shule. (xv) Huwafanya wanafiฤฑnzl wanaotia bidii masomoni kuvunjika moyo wanaposhindwa na wale wasiotia bidii. Tanbihi Sharti mtahiniwa ajadili hoja zinazoonyesha athari kwa mwanafunzi na kwa jamii (kama wazazi, walimu na nchi). 3. Mtahiniwa atunge kisa kinachodhihirisha maana ifuatayo: Kiongozi /mkuu/mzazi akiondoka/akifa, wale wanaomtegemea/wale anaowaongoza hupatwa na shida/ (huzuni)/hupungukiwa. Au Kiongozi/mzazi/mkuu akipotoka wale anaowaongoza/wanaomtegemea hutatizika/hupotoka pia. Au Mtahiniwa aonyeshe kwamba matatizo/maovu yanayofanywa na kiongozi/mzazรฎ huiathiri jamii/familia yake vibaya. Hali zifuatazo zinaweza kujitokeza: (i) Mzazi afariki, watoto wapate shida kama vile kupokwa urithi. (ii) Wazazi wazozane, mwishowe wafarakane na kuwasababishia watoto matatizo. (iii) Baba/mama apotoke, pengine awe mlevi, watoto wainukie kuwa walevi/wakose mahitaji ya klmsingi. Kiongozi afanye lnaamuzi yasiyofaa, pengine kuchukua mikopo kutoka nchรฎ nyรฎngine na kuvipagaza vizazi vya kesho madeni. Kรฎranja mkuu wa shule apotoke, awapotoshe wanafunzi wenzake. Kiongozi/Viongozi waibe mali ya umma na kuwasababishia raia umaskini. Kiongozi wa kidini apotoke na kuwafanya waumini wapotoke. Tanbihi Sehemu mbili za methali zijitokeze: (i) Kugwa/kuangulca/kupotoka/kufa kwa kiongozi/mzazi/mtu anayetegemewa. (ii) Kuyumba kwa wana/ kuteseka/kuhuzunika/kupotoka kwa wanaomtegemea. 4. Hii ni insha ya mdokezo. Mtahiniwa abuni kisa kinachoafikiana na mwe1ekeo/toni/mtazamo wa kauli hii. Kisa kidhihirishe machungu anayoyapitia msemaji (Tuanxa), pengine kutolcana na mtu mwinginc, ugonjwa au hali mbaya inayoฤฑnzunguka. Yafuatayo yanaweza kudhihirika: (i) Mhusika ametafuta kazi kwa muda asipate, uvumilivu wake unafฤฑkia ฤฑnwisho. (li) Mhusika asimulie kisa aฤฑnbamo pengine amekabiliwa na tatizo la kuwa na watoto walemavu, mmoja baada ya mwingine. Anatarajia apate angaa mmoja mwenye afya nafuu. (iii) Msimulizi awe na mtafaruku na mwenzake; labda mume au mke. Avumรฎlie hadi ku1โ€ฤฑkia kiwango hiki. Msimulizi auguc ugonjwa, atafute matibabu, ugonjwa uendelee kumwathiri hata baada ya kutumia pesa nyingi. (v) Mhusika akumbwe na matatizo ya ukosefรป wa fedha, atafute njia ya kujiinua asipate. Tanbihi (i) Kisa sharti kidhihirishe hali mbaya/machungu/mahangaiko/changamoto anazopitia Msimulizi/Mhusika (Tuama). (ii) Ajaribu/avumilie hadi kufikia kiwango hiki cha kuvunjikiwa. (iii) Kauli hii inaweza kuwa ndiyo muisho wa kisa, Msimulizi akaturudisha nyuma kulฤฑadithia yaliyotokea. (iv) Msรฎmulizi/mtahiniwa pia anaweza kuanza kwa kauli hii na kuendeleza kisa kuanzia hapo bila kutumia mbinu rejeshi.  

KCSE Past Papers 2018 Kiswahili Paper 1 (102/1) Read Post ยป

Uncategorized

KCSE Past Papers 2019 Kiswahili Karatasi ya 3 (102/3)

Kiswahili Karatasi 3 (102/3) MAJIBU 1. Haya ni maneno ya Msimulizi/mwandishi Yanamhusu Selume Selume yumo kwenye kituo cha Afya cha Mwanzo Mpya/ yanarejelea mandhari/ mazingira ya Kituo cha Afya cha Mwanzo Mpya Anawazia changamoto alizopata alipokuwa akifanya kazi kwenye hospitali ya umma. Kwa mfano, ukosefu wa vifaa vya kimsingi kama vile glavu. Hali imekuwa afadhali baada ya kuajiriwa katika kituo cha Mwanzo Mpya. 4x 1 = (alama 4) Tanbihi a. Dondoo limetolewa uk. 140. b. Mtahiniwa atuzwe kulingana na hoja anazotolea jibu sahihi. Hata akikosea msemaji, atuzwe kwa Yale mengine. ii (i) Nahau โ€” ameyapa kisogo (ii) Tashbihi โ€” kama mana iliyomdondokea kinywani (iii) Istiari – mana 2 x 1 = (alama 2) Selume anaonyesha athari za tofauti za kisias a. Anafarakana na mume wake kwa sababu alimuunga mkono Mwekevu uk. 30. Mwandishi amemtumia kuendeleza maudhui ya ukabila. Mume wake anaoa msichana wa kikwao (uk. 35) baada ya kufarakana. Ametumiwa kuonyesha tabia za wahusika wengine. Kupitia kwake tunaona utu wa Ridhaa. Ridhaa anamtuliza na kumtafutia kazi (uk. 35) Ni kielelezo cha udugu wa wanyonge. Yeye na wenzake wanamsaidia Ridhaa kukabiliana na hali ya ukiwa iliyosababishwa na kufiwa na familia yake. Anachimuza changamoto/uovu uliopo katika taasisi za umma. Analalamikia ukosefu wa vifaa vya kimsingi kama vile glavu. Analalamikia ukosefu wa huduma muhimu kama vile umeme, kuuzwa kwa dawa zilizotengewa wanyonge…. (uk. 140) Kupitia kwake tunaona jinsi kuzingatia tamaduni bila tahadhari kunaweza kuleta maangamizi. Anamwelekeza Tuama awashauri wenzake dhidi ya kupashwa tohara/ kufuata mila bila tahadhari (uk. 143) Anaendeleza ploti. Ndiye anayehadithia kisa cha Kipanga ambaye alianza kutumia pombe vibaya kwa kukataliwa na aliyemdhania kuwa babake (uk. 143) Kupitia kwake mwandishi anaonyesha umuhimu wa mshikamano wa kifamilia katika maadili ya wana. Kukataliwa na baba kunamfanya Kipanga kuwa mraibu wa pombe. Ni kielelezo cha wanaowajibika kazini- anawahudumia wagonjwa. 6x 1= (alama 6) (I) Chandachema (i) Kumwaga dukuduku -kuwasimulia wenzake kisa chake ili kupunguza mwemeo wa matatizo yake. Anawasimulia Umulkheri, Zohali, Mwanaheri na Kairu kisa chake. (uk. 102)   (ii) Kujitenga na mazingira- Anaondoka kwa jirani baada ya Satua- mke wa jirani kuanza kumwona kama mzigo (uk. 103). Anaondoka kwa Tenge anapoona mazingira hayo hayamridhishi/ ya upujufu wa maadili. (iii) Kuwasaka walezi/kutaka kurudiana na walezi/ukoo. Chandachema anatafuta asili ya mama yake, Rehema. Anapobaini ameolewa anahiari kutoendelea kumtafuta, (Uk. 104) (iv) Kufanya maamuzi/kuchukua msimamo imara wa kujitegemea. Chandachema anasema kwamba hataenda kwa shangazi yake kulelewa huko; haihalisi kumwongezea mzigo (uk. 104) kwani ndiye aliyekuwa akigharamia masomo yake tangu hapo. (v) Kujiendeleza kielimu/ kuamua kutumia uwezo wao katika elimu kujiendeleza. Anaamua kuenda katika shamba la shirika la chai( la Tengenea) kwani alijua pana shule hapo; ataweza kujiendeleza kielimu (uk. 105). (vi) Kutafuta ajira. Chandachema anapoona hawezi kuishi /kujiendeleza kiuchumi katika mazingira ya nyumbani mwa Bwana Tenge, alianza kuchuma majani chai kwa malipo kidogo akiwa darasa la tano. (uk. 106) (vii) Kuweka siri/kutosema kuhusu maamuzi yao iii yasivurugike. Chandachema hawaambii walimu wake kwamba amehama kwa BwanaTenge hadi anapofanya mtihani wake. (Uk. 107) (vii) Kutia bidi masomoni- Anasema atajitahidi masomoni (uk, 108) . Anafanya vyema katika mtihani wake. 4 x 1 = (alama 4) (ii) Dick (i) Anaingilia ulanguzi wa dawa za kulevya kwa kuhofia adhabu ya mwajiri wake. (ii) Kutaka kukidhi mahitaji ya kimsingi kunamsukuma kuingilia ulanguzi wa dawa (uk. 122) (iii) Kuuona/kuichukulia hatua/kuuchukulia uamuzi anaotoa kuhusu kuingilia uovu kama majaliwa hivyo kupunguza uzito wake. Anasema ulanguzi ndio hali aliyoandikiwa na Mungu (uk. 122 โ€” 123). (iv) Anatathmini matendo yake na kuwazia athari za matendo hayo. Anaamua kuacha ulanguzi wa dawa(uk. 134). (v) Kujiendeleza kitaaluma. Anasomea Teknolojia ya Mwasiliano baada ya kupokea nasaha kutoka kwa Mwangeka, kwa njia hii anakinga dhidi ya kurudia mazoea yake ya awali. (uk. 174) (vi) Ujasiriamali; Anaanzisha biashara ya vifaa vya mawasiliano ambayo inamwezesha kujitegemea na kuwaajiri wenzake; (uk. 174) 4x 1 = (alama 4) 2. (a) (I) Tunu na Sudi kujitolea kuwa na mfumo wa kuongoza harakati za ukombozi/kupiga vita udhalimu. Kwa mfano walikuwa watetezi wa haki hata wakiwa wanafunzi chuoni. (ii) Sudi kukataa ushawishi wa viongozi dhalimu. Anakataa kuchonga kinyago cha Majoka hata baada ya kushawishiwa na Kenga (uk. 11-12) (iii) Sudi kuwatia hofu viongozi dhalimu kwamba matendo yao yanamulikwa na washikadau kama vile Jumuiya ya Kimataifa (uk. 12) (iv) Kuwazindua wanyonge kuhusu hila za viongozi. Sudi anadhamiria kuwazindua Kombe na Boza. (uk. 14) (v) Kuchunguza mienendo ya viongozi dhalimu. Ashua na Tunu wanatambua kwamba kuna mkutano wa Kenga na kutaka kujua wanachopanga. (uk. 15) (vi) Kuwaita/kuwakusanya na kuwaongoza warn wasikilize na kukabili viongozi dhalimu. (uk. 15) (vii) Migomo ya wauguzi na walimu kudai haki zao (uk. 16) (viii) Kuwakabili viongozi dhalimu moja kwa moja na kuwaambia makosa yao. Ashua anamkumbusha Majoka kuwa hakuna mchuuzi asiyelipa kodi na kuwa hela hizo zingesafisha soko (uk. 25) (ix) Maandamano โ€” Tunu pamoj a na wanaharakati wanaongoza maandamano kwa madhumuni ya kutetea haki za Wanasagamoyo na kupinga utawala dhalimu (uk. 32) (x) Mikutano ya hadhara na ya wachache, kwa mfano, hotuba ya Tunu kwa wanahabari iliyoangazia ukiukaji wa haki za Wanasagamoyo (uk. 32) (xi) Kuamua kuunga mkono uongozi ufaao bila kuzingatia tabaka, jinsia au umri. Raia wanamteua/wanamuunga mkono Tunu, Sudi kukataa kuchonga kinyago cha Majoka na kuchonga cha Tunu. (uk. 19) (xii) Tunu alisomea uanasheria kwa madhumuni ya kupigania haki za Wanasagamoyo. (xiii) Ashua kukataa ajira katika shule ya Majoka. (xiv) Baadhi ya Wanasagamoyo kuususia mkutano wa Majoka. (xv) Matumizi ya vyombo vya habari kama vile Runinga ya Mzalendo kuihamasisha umma. (xvi) Upelelezi wa nje kuchunguza kifo cha Jabali. (xvii) Ufadhili wa nje kwa wapigania haki za Wanasagamoyo. Hoja 10 x 1 =( alama 10) b) i) Maudhui (I) kumbukumbu kuhusu mauaji ya Jabali inaonyesha ukatili (uk. 34). (ii) Tunarudishwa nyuma kuonyeshwa Sudi na Tunu walipoanza harakati za utetezi wa haki walipokuwa chuoni. (uk. 18)- Maudhui ya utetezi wa haki yanajitokeza hapa. (iii) Kumbukizi kuhusu mashujaa kupitia tangazo kwenye redio (uk. 4) inaonyesha matumizi ya mbinu hasi za kitawala- propaganda. (iv) Mapenzi โ€” Ashua na Majoka walivyopendana kabla ya Ashua kuolewa na Sudi (uk. 19, 23, 49) (v) Kumbukizi kuhusu Ashua alipofuzu na kukataa ajira katika Majoka and Majoka Academy. Mudhui yafuatayo

KCSE Past Papers 2019 Kiswahili Karatasi ya 3 (102/3) Read Post ยป

Scroll to Top